Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Pole na kazi binamu.....hela tafuta wewe, wenyewe wameamua I utishashana kwenye mazeutamu. Au wewe binamu unalombaga hela!?
Pole na kazi binamu.....hela tafuta wewe, wenyewe wameamua I utishashana kwenye mazeutamu. Au wewe binamu unalombaga hela!?
haya hayaa
Unataka kumtisha the class.??we huangalii hata majina ya watu kwanza ndo uanze kuwazingua ona sasa,ukipigwa sipo
Sent using Jamii Forums mobile app

Shikamoo binamu mm mwenyewe unda ten....apewe Tumosa peke yake, siku hizi nimechonga cheti kipya cha kuzaliwa , yaani miaka yangu Azam youths wanaitamani. Nipewe nafasi sio shikamoo.
Halafu anko, unajua yule mganga wetu yuko jela, alikuwa kumbe anamuingizia mteja wake yule demu wako wa bank dawa kwa kutumia kiungo chake cha siri. Kifupi dullah mganga alikuzunguka

Binamu akiha lazima ucheke
![]()
![]()
badamu basije mwagika mdogo wngu



kwakweli dada leo kulikuwa na hati hati ya badamu kumwagikaAkikata kucha zote maana yke nn shemelaMambo ya ukiona mwanamke kakata kucha zake zote..![]()
....basi binamu nilijuaga wewe mlokole , ila nilipowaona wale mapacha nikajua umejaa ufundi sana kunako na shululu.
mama Ashura kanizidi binamuNdiwooooooUnafukuaa,![]()
![]()
![]()
Jamaaaani Tumosaaa kasema anapenda kumumunya muhogo wa shululu..
Kitu Haluwaaaaa!![]()

Haliui shemelaHogo litakuuwa wewe
Oooh basi sawaNdio..
Amesema Lyon Lee ndio anamkula..
Lilino ngafu nkamu
Njema za ww ndugu
Itakuwa jrani aliandika maana kuna muda nilimuazima simu
Afadhali