Makapuku Forum

Makapuku Forum

emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
haya hayaa
Unataka kumtisha the class.??we huangalii hata majina ya watu kwanza ndo uanze kuwazingua ona sasa,ukipigwa sipo
emoji125.png


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuacha mwaya dada
 
....apewe Tumosa peke yake, siku hizi nimechonga cheti kipya cha kuzaliwa , yaani miaka yangu Azam youths wanaitamani. Nipewe nafasi sio shikamoo.



Halafu anko, unajua yule mganga wetu yuko jela, alikuwa kumbe anamuingizia mteja wake yule demu wako wa bank dawa kwa kutumia kiungo chake cha siri. Kifupi dullah mganga alikuzunguka


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom