Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,278
- 35,639
Tafasiri Unavyoweza: Moja Kujifunga, Mbili Kuona Mbali.
...msomi Kilatini Thomasi Aquinas (St. Thoams Aquinas) aliwahi kueleza kuwa ana hofu kubwa juu ya mtu mwenye kitabu kimoja (a I fear the man of a single book) kwa tafasiri ya sisisi. Katika mazingira ya sasa, msemo huu haumaanishi kitabu kimoja kwa maana ya idadi au aina. Hapa tuuangalie msemo huu kama changamoto ya kuwa na kiongozi wa jamii ambaye anaamini ni yeye peke yake ndiye ana uelewa wa mambo kuliko wengine. Aina hii ya kiongozi ni ya kuogopwa maana hakuna asehemu ambayo ataifikisha jamii pana yenye watu wenye mahitaji tofauti. Tafasiri unavyoweza.
Ufahamu sahihi huja baada ya kuwa umetafuta maarifa na ukachanganya na zako, mawazo ya wanaokukosoa huwa si mabaya hata kidogo na ndiyo yamefanya jamii nyingi kuendelea na watu kufurahia kuwa sehemu ya jamii yenye tofauti. Kwa sasa aina ya viongozi na watawala tulionao inaundwa na watu wenye kitabu kimoja kichwani. Wanaamini na kujiaminisha kuwa wao wana mawazo sahihi kuliko wengine na pale wanapopingwa basi hoja ya nguvu hutangulizwa dhidi ya nguvu ya hoja.
Ni changamoto ya kawaieda tu ambayo naamini unaijua, mawazo mgando hayawezi kukusaidia katika chochote unachoamua kufanya, sikiliza wengine wanaamini nini na hapo kama kuna mazuri yachukue. Tafasiri unavyoweza
...msomi Kilatini Thomasi Aquinas (St. Thoams Aquinas) aliwahi kueleza kuwa ana hofu kubwa juu ya mtu mwenye kitabu kimoja (a I fear the man of a single book) kwa tafasiri ya sisisi. Katika mazingira ya sasa, msemo huu haumaanishi kitabu kimoja kwa maana ya idadi au aina. Hapa tuuangalie msemo huu kama changamoto ya kuwa na kiongozi wa jamii ambaye anaamini ni yeye peke yake ndiye ana uelewa wa mambo kuliko wengine. Aina hii ya kiongozi ni ya kuogopwa maana hakuna asehemu ambayo ataifikisha jamii pana yenye watu wenye mahitaji tofauti. Tafasiri unavyoweza.
Ufahamu sahihi huja baada ya kuwa umetafuta maarifa na ukachanganya na zako, mawazo ya wanaokukosoa huwa si mabaya hata kidogo na ndiyo yamefanya jamii nyingi kuendelea na watu kufurahia kuwa sehemu ya jamii yenye tofauti. Kwa sasa aina ya viongozi na watawala tulionao inaundwa na watu wenye kitabu kimoja kichwani. Wanaamini na kujiaminisha kuwa wao wana mawazo sahihi kuliko wengine na pale wanapopingwa basi hoja ya nguvu hutangulizwa dhidi ya nguvu ya hoja.
Ni changamoto ya kawaieda tu ambayo naamini unaijua, mawazo mgando hayawezi kukusaidia katika chochote unachoamua kufanya, sikiliza wengine wanaamini nini na hapo kama kuna mazuri yachukue. Tafasiri unavyoweza
TUOMBE:Baba Asante kutuamsha salama tukiwa wazima leo Jumanne tarehe 7 Agosti 2018.Tunaomba Toba tusamehe..Tunajikabidhi mikononi mwako endelea kutupigania Mfalme wa Amani.Tuponye,Tubariki,Tuhuishe.
