Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,277
- 35,630
...unacheka nini? Au anaweza kuwa kama mimi, kijana ana mambo ya kizee
...unacheka nini? Au anaweza kuwa kama mimi, kijana ana mambo ya kizee



kumbe salaam ya wazee ngoja aje mwenyewe binamukumbe salaam ya wazee ngoja aje mwenyewe binamu
Kuku nimenasa kwenye tenga sina pupa mm niwako
Ungejua sisemi silali kwakovile sihem wewe ni kiboko yangu
Mahabuba nyongo mkalia INI
Sinaga mwingine baba, nyongo mkalia INI
Shida yangu kukuona mzima baba njaa sio tatizo
Kama shida tumezoea sana baba tangu enzi hizo
Wache wapark wamarange nimependa bodaboda iyee eh
Ongeza mapenzi sitakuja kukumwaga baba eehh
Chai kwa andazi wala sinaga shida iyeee ehh
Uniletee boga ninapomisi burger iyee ehh
Japo wengi wanaumia wakituona ng'aring'ari
Wanataman furaha yetu hawapendi kushuhudia
tunavizidi kwenda mbali wanataman furaha yetu
Majuto majuto ni Mjukuu nikikuacha
Ndo mwisho nitachekwa na watu nitaumbukaa
Wouzeeerrrrr binamu santeeee
![]()
Tupo machooMakapuku mmelala
Pamojaa sanaNawasalimu na nawatakia asubuhi njema sana sana!
Nakusalimia sana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hujui alipo
Shikamoo lakini
Hakulaliki Mkuu! Movie zimekuwa nyingi sana!Makapuku mmelala
Mbona tunapishana sana mitaa ya humu?kumbe salaam ya wazee ngoja aje mwenyewe binamu
Shikamoo binamuNawasalimia tu wadau na kuwauliza tu, Kuna Jipya?
Asante slim5Nakusalimia sana