Mungu akipenda kesho Mr.Mungu Muweza Wa Yote, Na Kwako Hakuna Linaloshindikana!
Sawa Kaduga!Mungu akipenda kesho Mr.
AmenMuwe na usiku mwema wapendwa
Nawe Pia, Neema Ya Mungu Iwe Nawe!Muwe na usiku mwema wapendwa
Mlale Unono!Aya sisi wengine tunalala
Mko Salama!Zamu yke kulinda jukwaa![]()
![]()
![]()
![]()
Mmmmmm hizo nyimbo ankoli...asante binamu, niko nimekaa mahali tulivu nasikiliza nyimbo za South ila majina yake sasa ukiulizwa na mnayeheshimiana unaweza ukasema hujui kusoma
wimbo unaitwa kuntombazane, mwingine intombiyakamama. Nway nisikuchoshe. Furahiday haipaswi kuwa na mambo mengi
..heshima yako lakininyumbani kumenoga kule kwa wakenya hakuna cha maana ndo mana namwambia asiendeKwa nn unamkataza mbebez wako kuja kt
woooozeerEenh![]()
nakupenda sana mke wangu nitakupenda siku zote nilizobakiza hapa duniani makapuku ni mashahidi.Kwako sjawah kununa wala kulala nikiwa nimenuna, achilia mbali kununa, kulala ikiwa tuna misunderstanding btn me and u, nakupenda kwa vingi
Mmmmmm hizo nyimbo ankoli..heshima yako lakini