Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu umeanza stts za kwenye WhatsApp jamani


...basi mimi na uzee wangu huu nikajua ni Sasa Twende Tukale Sombe kumbe ni mambo ya whatsapp, hivi hata mtu mwenye simu mpya ya hela nyingi anaweza kuwa na whatsapp? Nauliza tu
 
Binamu jamani unanichosha tumosa ebu njo umjibu
...basi mimi na uzee wangu huu nikajua ni Sasa Twende Tukale Sombe kumbe ni mambo ya whatsapp, hivi hata mtu mwenye simu mpya ya hela nyingi anaweza kuwa na whatsapp? Nauliza tu
 
...basi mimi na uzee wangu huu nikajua ni Sasa Twende Tukale Sombe kumbe ni mambo ya whatsapp, hivi hata mtu mwenye simu mpya ya hela nyingi anaweza kuwa na whatsapp? Nauliza tu
Ndio binamu
 
Ameshaanza tutakoma kila siku itakuwa mambo hayohayo habari za saa zimeisha

...unajua aunt kuna watu wana wivu balaa, ile saa ilibidi niende nikazindikwe kwa mganga, ningeweza kupotezwa hvi hivi sababu ya saa. Sasa kwa hii simu itabidi niombe ulinzi maalumu, unamjua yeyote mwenye majini?
 
Binamu mm kwenye majini siwajui ukitaka twende kanisani ikaombewe
...unajua aunt kuna watu wana wivu balaa, ile saa ilibidi niende nikazindikwe kwa mganga, ningeweza kupotezwa hvi hivi sababu ya saa. Sasa kwa hii simu itabidi niombe ulinzi maalumu, unamjua yeyote mwenye majini?
 
...unajua aunt kuna watu wana wivu balaa, ile saa ilibidi niende nikazindikwe kwa mganga, ningeweza kupotezwa hvi hivi sababu ya saa. Sasa kwa hii simu itabidi niombe ulinzi maalumu, unamjua yeyote mwenye majini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom