Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ndoto yako imezimwa mkuuRussia anaongoza huko
Anakuja kuwatoa England mchana kweupe..![]()

Endelea na England hawata kuangushaHahaha mm hapa sina team yoyote najionea kawaida tu yeyote atakayefungwa
Jamani unataka kuninyima nn baba d na hiyo shikamooo sijui sasa wewe ni baba d au mbebez wake abj![]()

Kwa hilo naunga mkono, wanajisifia mpaka wanaboa hawa jamaaWale england wana sifa kama wenzagu wahaya wakwendee
Hata ukiwa nayo presha ya nini. Usijipe presha kwa sababu za mpiraMpira umenoga yaani usipokuwa na team ya kushangilia huna ata pressure
Hata ukiwa nayo presha ya nini. Usijipe presha kwa sababu za mpira
Hata ukiwa nayo presha ya nini. Usijipe presha kwa sababu za mpiraMpira umenoga yaani usipokuwa na team ya kushangilia huna ata pressure
Njema mkuuZa jumapili MAKAPUKU
Njema mkuuZa jumapili MAKAPUKU