ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Hadi jioni binamu akija atakupokea
jamani lini hiyo isije ikawa mwakani
Heshima yako mama mchungaji,kaah mara hii unadai sadaka wakati hata nyimbo hatujaimba jamani
Sawa sawa kabisa..!
Mimi naomba cheo cha "Msajili wa vyama"
ah tutakoma
...ha hhahhaa, watu hata hatujaanza kunena kilugha tukiongozwa na mzeewakungoa


hapo sasa...hahaha babu nae kapata cheo
Jipya tunaanzisha kanisa cheo chako umeshakiona...nimekuja sasa, kuna jipya?
Jipya lipoo mimi nimechaguliwa kuwa mcheza shoo kwenye band yako...nimekuja tayari, kuna jipya limetokea ungependa uliseme niliandike kwenye daftari
Jipya tunaanzisha kanisa cheo chako umeshakiona
Jipya lipoo mimi nimechaguliwa kuwa mcheza shoo kwenye band yako
Atulie kwanzakahh hatari ila mdogo wako ndo mkusanya sadaka hajakwambia
hapo sasa...hahaha babu nae kapata cheo
Aaaaaaaaahhhhhhh
...safi sana, hii band inabidi ifanye vizuri zaidi tuteke soko na watu wote waje. Kama unajua kukatika vizuri utakaa safu ya mbele, ila kama ni mzito fulani hivi kama unatokea milimani inabidi uje nikuelekeze kwa vitendo mpendwa










nimecheka hakya mama,yani ondoa shaka humo ndo mwangu kiuno kinaenda ka feniKhaaaaKhaaa
Hapana aisee tutaandamana na kabisa litafungwa
Yepi tenaaaMakubwa haya