Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jipya lipoo mimi nimechaguliwa kuwa mcheza shoo kwenye band yako


...safi sana, hii band inabidi ifanye vizuri zaidi tuteke soko na watu wote waje. Kama unajua kukatika vizuri utakaa safu ya mbele, ila kama ni mzito fulani hivi kama unatokea milimani inabidi uje nikuelekeze kwa vitendo mpendwa
 
hapo sasa...hahaha babu nae kapata cheo


...kila mmoja atapata tu cheo, kwa sasa wale ushers watakuwa ni anko wangu Lyon Lee huyu tutamuweka upande wa kuwakaribisha mabinti wa vyuo, usher omarion5 atakuwa upande wa kuwaelekeza waumini sehemu za mapumziko.

Halafu usher hearly yeye atakuwa na jukumu la kuwafunika kanga wale wadada wanaoshukiwa na pepo wakaanguka
 
...safi sana, hii band inabidi ifanye vizuri zaidi tuteke soko na watu wote waje. Kama unajua kukatika vizuri utakaa safu ya mbele, ila kama ni mzito fulani hivi kama unatokea milimani inabidi uje nikuelekeze kwa vitendo mpendwa
nimecheka hakya mama,yani ondoa shaka humo ndo mwangu kiuno kinaenda ka feni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom