Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Sio katibu ni mwenyekiti wa sadaka halafu hiki cheo nipo mm peke angu sihitaji msaidizi






... nimependa hapo " nipo peke yangu"Sio katibu ni mwenyekiti wa sadaka halafu hiki cheo nipo mm peke angu sihitaji msaidizi






... nimependa hapo " nipo peke yangu"HahahaHeshima yako mama mchungaji,kaah mara hii unadai sadaka wakati hata nyimbo hatujaimba jamani
Eee..maka atakuwa mzee wa kanisaNabii hana nafasi mchungaji anatosha
Piganeni kama vipiHaya
Heshima yako mama mchungaji,kaah mara hii unadai sadaka wakati hata nyimbo hatujaimba jamani

vyuma
Nipo peke angu hakina msaidizi hiko cheo kama lawama zikitokea nipate mwenyewe... nimependa hapo " nipo peke yangu"
Makubwa hayaHahaha
Sadaka kwanza kabla waumini hawajaanza kutoka
Eee..maka atakuwa mzee wa kanisa
SawaNdio jamani we si ni mama mchungaji
Sawa
Ila sadaka nakusanya pia
Hahaha
Sadaka kwanza kabla waumini hawajaanza kutoka


kahh hatari ila mdogo wako ndo mkusanya sadaka hajakwambiaHata kama ni kwenda peponi utaenda wewe! Kama ni motoni utaenda weweNipo peke angu hakina msaidizi hiko cheo kama lawama zikitokea nipate mwenyewe




kahh hatari ila mdogo wako ndo mkusanya sadaka hajakwambia
Hata kama ni kwenda peponi utaenda wewe! Kama ni motoni utaenda wewe![]()
Sawa sawa kabisa..!Hiko ndio cheo chake

"