Makapuku Forum

Makapuku Forum

...kila mmoja atapata tu cheo, kwa sasa wale ushers watakuwa ni anko wangu Lyon Lee huyu tutamuweka upande wa kuwakaribisha mabinti wa vyuo, usher omarion5 atakuwa upande wa kuwaelekeza waumini sehemu za mapumziko.

Halafu usher hearly yeye atakuwa na jukumu la kuwafunika kanga wale wadada wanaoshukiwa na pepo wakaanguka
Hah hahaha "" mkuu hicho cheo nipatie haraqa aisee..."" Usibadilishe tafadhali
 
We pepo ushindwe kanisani unamkatikia nani mauno


....amenishangaza sana kwa kweli, yaani anataka kukata mauno kanisani, jameni hili kanisa si litawakimbiza wapenda monde Transcend wakae viti vya mbele

giphy.gif
...hapo sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom