Makapuku Forum

Makapuku Forum

473edbd4f1e4a8e15c0277bc9c845e41.jpg
Tena lenyewe lina sukari ya magendo
..............
 
Nimekumbuka hili la sukari. Hivi nani alikuwa shule 1979-80 wakati wa vita ya Uganda au nani alikuwa nyumbani vilevile na kama anakumbuka aniambie nani alikuwa anakunywa chai chenye sukari? Je, tunarudi kule kule? Je, tunapigana vita gani sasa? Jibu bila jazba hii ni makapuku siyo thinkers.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom