Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Tena lenyewe lina sukari ya magendo
..............
Tena lenyewe lina sukari ya magendo
Habari yako brother.Duh! Nilipitiwa maana na mda huo usingizi nao ulikuwa unasumbua.
Kweli kakaNipo ndugu. Naona hili group ndo limegeuka kuwa the most active hapa JF. 31K replies and counting!
Duh!![]()
Mzigo wa nani huu![]()
..............
Haina kabisa sio simba kibogoyo wala wale ice creamYanga haina mpinzani![]()
Tena lenyewe lina sukari ya magendo
..............
Hii inabida itolewe bure kwa wananchi.
Mmekula humu?
Hii niliikuta geto kwa sumbaiDuh!
Wifi nimeuona mkono wako wa pongezi shukrani sanaaaHumu ndani ni poa
Habar yako mkuu!

Habari yako brother.Haina kabisa sio simba kibogoyo wala wale ice cream
Malmo aliyekuwa barozi au???Raha sana kuwa shabiki wa timu zifuatazo
Yanga
Malmö fc
Manchester United & Real Madrid
50 hapana ila 7-10 ndio na nimefurahiPrezdaa unanionea, nimempa kama 50 hiv
Hongera myWifi nimeuono mkono wako wa pongezi shukrani sanaaa![]()

Safi tu kaka. Za kwakoHabari yako brother.
Niko vizuri mkuu.Safi tu kaka. Za kwako
Fanya hivyo kwa vitendo ili aaminiNaomba Bitoz afaham kuwa mimi na wewe ni dada+kaka tu, pia siwezi kuku..let down
Asante sana. Pole na weweNiko vizuri mkuu.
Pole na mihangaiko.
Safari ya wapi huagi??Nipo brother.
Nimebanwa mbaya,si unajua niko safarini!!![]()
![]()
![]()