Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,652
..akijibu jitahidi kunitag, nitafurahi sanangoja ajibu
..akijibu jitahidi kunitag, nitafurahi sanangoja ajibu
Njema sana, habari za miangaiko?
kwahiyo hakuna kivuruge mkuu
Hahahah sawa ankoo lakini me sijui kutag labda unifundishe..akijibu jitahidi kunitag, nitafurahi sana
....kama nimekuelewa sawa sawa! Nadhani unaandika maneno kwenye link (maneno yako)
Unapaswa kuandika maneno na kama unatumia keyboard basi bonyeza enter ndo ubandike link.
Kuandika na maneno inawezekana kwenye pictures na gif (inasupport still pic na animated)
Naamini nimekuelewa
....kama nimekuelewa sawa sawa! Nadhani unaandika maneno kwenye link (maneno yako)
Unapaswa kuandika maneno na kama unatumia keyboard basi bonyeza enter ndo ubandike link.
Kuandika na maneno inawezekana kwenye pictures na gif (inasupport still pic na animated)
Naamini nimekuelewa





binamu tumuulize abj
...hata mimi ambaye niko humu na nina mambo ya kizee
Khaaa tenaHakuna jamani wote wastaarabu
Shikamoo binamu...kuna jipya? Yaani ukiondoa haya ambayo nimeyasoma humu! Kama hakuna basi tuendelee na utaratibu wa kawaida
haya tununu



.Habari shemuShikamoo binamu
Huku kwema sana....mihangaiko ilikuwa poa sana, sijui wewe huko pembeni ya Tanzania




karibu sana huku. Uwezi lala njaa though vyakula ni cheap sana.Ndo wap na mm niendeNiwaache ndio swagger zangu hizo nimeziiba huko kwenye likes
Mmmmmmm hicho hapana bee.
Aisee rugha nzuri sana kwa ulimi hii inaendana na Kikinga(tunonu= nzuri)
Takuwa nakusalimia ata Mapembelo wawene najua tutakuwa tunaenda sawa.
Binamu umeona haponimeelewa sasa