omarion5
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 5,206
- 17,686
Unatumia tarakilishi kumbe?Ndio hivi binamu asante sana natakiwa nikipaste nibonyeze enter
Unatumia tarakilishi kumbe?Ndio hivi binamu asante sana natakiwa nikipaste nibonyeze enter
shwari tu mambo yanasemajeNpo mkuu,hbr ya cku
Mwambie na yy anayo ya kuyavurugangoja ajibu
Ndio hivi binamu asante sana natakiwa nikipaste nibonyeze enter
nimeipenda na hii
Alisema wewe ndio umemwaribuWw ndo umetuharibia huyo mtoto
Mapembelo binamu.
Aisee rugha nzuri sana kwa ulimi hii inaendana na Kikinga(tunonu= nzuri)
Takuwa nakusalimia ata Mapembelo wawene najua tutakuwa tunaenda sawa.
Nakukumbuka ndio kumbe ulichange I'dUnanikumbuka?
Poa hapo juu nmeona unavwanga kikinga shemelaHabari shemu
...sio youtube tu, unaweza kuchota muziki toka Vevo au kwingine maana JF media app inaruhusuhu app kibao
Wap sabasaba au mandelaHuku kwema sana.karibu sana huku. Uwezi lala njaa though vyakula ni cheap sana.
Umependa nyimbo binamu
Unatumia tarakilishi kumbe?
Akuuuu mie sio kivurugeDada na wewe ni kivurugee??
...yeah, iwe unatumia tablet, simu au laptop. Unaweza anza na maneno unayotaka kisha ukibofya enter ndo unapaste clip.
kama unataka kuweka link iwe ya habari toka webpage tofauti basi unaweka link kamili tofauti na unavyoweka audio/video clips
Siku yngu ilikuwa murua wanangu hawajambo binamu...marahaba binamu, siku yako ilikuwaje na watoto wenu
...nimeipenda hiyo nyimbo, ujue nina taste zangu nasikiliza zaidi sasa nikiona muziki ambayo sisikilizi mara nyingi na nikaupenda basi ninaupenda kweli. Unakumbuka ule wimbo uliowahi kuomba wa Tiwa Savage Oh baby, na Tekno, !!?
Me si shaik wa hizo lakini nilizipenda
Siku yngu ilikuwa murua wanangu hawajambo binamu
Sio kwa kelele hzoAkhuuuu niko mzima