Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
nilikumiss vp hali yakoAbeeeh mkuu
Nyie endeleeni mkichoka na mm ntaenda...hivi mbona wewe huwa sikuoni kwenye hili jukwaa?
ni furaha kama uko poaPouwa
AkwendreeeMchonganishi huyo
Hawezi poteaKuwa makini nae tunaweza kumpoteza huyo, ww mzoefu umuangalie acjepotea huko
Nilikumiss mimi pia jamani niko poa mm za wewenilikumiss vp hali yako
...hivi mbona wewe huwa sikuoni kwenye hili jukwaa?
Nyie endeleeni mkichoka na mm ntaenda










niko saf ila mafua tu yanasumbuaNilikumiss mimi pia jamani niko poa mm za wewe
Pole sana mkuu huo sio ugonjwa ni ugonjwa wa mapenzi hauna mpenzi akunyonye mafua hayo uponeniko saf ila mafua tu yanasumbua
AbeeePole sana mkuu huo sio ugonjwa ni ugonjwa wa mapenzi hauna mpenzi akunyonye mafua hayo upone


Nani amekuita etiAbeee![]()
![]()
![]()
hahaaaa hii mpya shuni kwangu. Sina mpenz shuni hata wa kuniambia pole hakuna.Pole sana mkuu huo sio ugonjwa ni ugonjwa wa mapenzi hauna mpenzi akunyonye mafua hayo upone
Kwema?Kiongoziiiii
Hahaaaa...baada ya miaka 5 mtoto atakuwa na majina 10 sasa

.
Si tatizo lako pekee ako, bora ww unaperuz jf unakosa notifications, wengine hailog in au thread hazifunguki.Kwema?
Jf haileti notification mkuu..
Anyway..! How hav you been?
Asante..! Sioni notification ujuePouwah T karibu
Kuna namna ya kulog in now..Si tatizo lako pekee ako, bora ww unaperuz jf unakosa notifications, wengine hailog in au thread hazifunguki.
Good morning mkuu
kuwa unakubaliana na sheria za Jf ndio ulog in ...then uje kwenye app ulogin tena.