Mockingbird
JF-Expert Member
- Jan 11, 2018
- 434
- 1,043
Nafahsmu hilo mkuuKuna namna ya kulog in now..
Lazima ulogin kwa browser kwanza then ndio ulog in kwa App.
For the first time ukilog in kwa browser kuna mahali lazima uwekekuwa unakubaliana na sheria za Jf ndio ulog in ...then uje kwenye app ulogin tena.
Cc Sakayo
BTW mimi situmii App na sitothubutu kutumia app
kuwa unakubaliana na sheria za Jf ndio ulog in ...then uje kwenye app ulogin tena.