Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi binamu ilikuwaje kumwambia mjomba ako nimemwita kaka lini mimi nilimuita kaka lakini binamu

..unadhani hata mimi najua basi!! Sikumbuki kabisa wewe kumuita anko wangu kaka. Watu wana maneno sana, nilijiuliza sana ujue wanataka tu wakugombanishe na mumeo.

Nilishangaa sana anko aliposema eti ulimuita kaka. Au ni njama tu za anko ukasirike akutulize kisha akutambulishe mke mpya aliyempata kwenye ramadhani
 
..unadhani hata mimi najua basi!! Sikumbuki kabisa wewe kumuita anko wangu kaka. Watu wana maneno sana, nilijiuliza sana ujue wanataka tu wakugombanishe na mumeo.

Nilishangaa sana anko aliposema eti ulimuita kaka. Au ni njama tu za anko ukasirike akutulize kisha akutambulishe mke mpya aliyempata kwenye ramadhani
Kama ulijua bado nipo uliponiachaa kwa taarifa nshatoka na naona unachotala kusababisha

my phone
 
...duh anko, ilikuwa balaa, alinikaba sana na alinitishia mambo mazito ikabidi nimpe namba zako, ila nilimpa zile ambazo aunt hazijui so usiwe na wasiwasi
Achana na aunt kwanza ...kwa nini umenisalitiiii tulipanga nini ?? Kwa taarifa yako nimetuma picha yako kimakosa ila maksudi kwa yule wa kule chini ...kesho utakomaa

Kwani kuna haja ya salam kweli??
 
..unadhani hata mimi najua basi!! Sikumbuki kabisa wewe kumuita anko wangu kaka. Watu wana maneno sana, nilijiuliza sana ujue wanataka tu wakugombanishe na mumeo.

Nilishangaa sana anko aliposema eti ulimuita kaka. Au ni njama tu za anko ukasirike akutulize kisha akutambulishe mke mpya aliyempata kwenye ramadhani
Binamu upoje kwani akioa ndio inakuwaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom