Makapuku Forum

Makapuku Forum

Achana na aunt kwanza ...kwa nini umenisalitiiii tulipanga nini ?? Kwa taarifa yako nimetuma picha yako kimakosa ila maksudi kwa yule wa kule chini ...kesho utakomaa

Kwani kuna haja ya salam kweli??


...salam ya nini sasa kama ndo umetuma picha nzima, ungejifanya kukosea ukatuma passport ile niliyopiga nimevaa mokasini four engo.

Hata hivyo yule kwa ufundi niliotumia atakuja kuniuliza kama ni kweli, ananiamini sana kuzidi hata kiongozi wake wa dini
 
..unadhani hata mimi najua basi!! Sikumbuki kabisa wewe kumuita anko wangu kaka. Watu wana maneno sana, nilijiuliza sana ujue wanataka tu wakugombanishe na mumeo.

Nilishangaa sana anko aliposema eti ulimuita kaka. Au ni njama tu za anko ukasirike akutulize kisha akutambulishe mke mpya aliyempata kwenye ramadhani

Binamu ww ni mgunduzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom