Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Jumatano Kuelekea Ramadhan

Ninakusalimia Kapuku mwenzangu na kukupongeza kwa kuweza kuchukua muda wako kupumzika hapa. Ujue nini, bila wewe Tumosa , Shunie , Transcend , shululu , BlessedHope , Lyon Lee , Nyagei , Da'Vinci , omarion5 , Clkey , ABJ , Mndali ndanyelakakomu , mzeewakungoa , Sakayo , Mkushi wa kusi , dumejeuri EMMYGUY , sab , hekimatele , hearly , sweetlee, SHIMBA YA BUYENZE , Bitoz , na wewe unayenisoma sasa, jukwaa hili lingekuwa ni la kawaida tu. Uwepo wako unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.

Asante Shunie kwa magazeti, ilikuwa siku nzuri kuamka na kusoma magazeti hapa.

Muziki sasa, siandiki mengi leo maana niko kwenye maandalizi ya kuianza Ramadhan na wakati wengine wanafunga, mimi nafungulia.

Asante mkuu. Mungu Aendelee kukubariki
 
Ukibigwa ban ya siku una kaa wiki nzima bila kuingia humu
hahaa..na ABJ wangu nitamkuta kesha binafsishwa ...Hawa mashangingi wahumu " hawakawii kumtia vishawishi aisee...."" utasikia achana nae yule " mtu mwenyewe ana tumia free data...pale alipo kabakiwa na suruali mbili tu...nikaja kurudi na kuta mtoto keshaelewa somo ....hahaaa"" mie ananifungia vioo tu ...kama kwakwea fastjet
 
hahaa..na ABJ wangu nitamkuta kesha binafsishwa ...Hawa mashangingi wahumu " hawakawii kumtia vishawishi aisee...."" utasikia achana nae yule " mtu mwenyewe ana tumia free data...pale alipo kabakiwa na suruali mbili tu...nikaja kurudi na kuta mtoto keshaelewa somo ....hahaaa"" mie ananifungia vioo tu ...kama kwakwea fastjet
Mbavu zangu mie kuna msemo wa wahenga asiyekuwepo na lake halipo
 
hahaa..na ABJ wangu nitamkuta kesha binafsishwa ...Hawa mashangingi wahumu " hawakawii kumtia vishawishi aisee...."" utasikia achana nae yule " mtu mwenyewe ana tumia free data...pale alipo kabakiwa na suruali mbili tu...nikaja kurudi na kuta mtoto keshaelewa somo ....hahaaa"" mie ananifungia vioo tu ...kama kwakwea fastjet
yaani kibaya zaidi tuko Tanzania ya kiswahili wanaandika maelezo kwa kingereza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom