Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni kweli mkuu kuna wakati nilipata nafasi ya kuwepo tanga nikaenda moshi niligundua sehemu zinazo kosa watu wanao Fanya kazi kwa bidii huwa nyuma kimaendeleo na kihuduma pia
hahaaa huo ugonjwa mkuu"" wanaugua watu wengi mnoo wa taifa hili " shida kubwa ni ukosefu wa kutojitambua..na kukosekana kwa hamasa ya mafanikio ...
mtu amemeza maisha ya kukarili katika kichwa chake "" kwamba ukishakuwa mtu mzima kama utakosa elimu " basii kinachofuata nikuwa na shughuli ya kuweza kupata ugali tu " kisha kuoa ..kuzaa Watoto wa sio na idadi na kusubiri umauti....kuna sehemu moja hivi niliwahi kwenda nikakuta asilimia 95 ya wana kijiji wa hicho kitongoji ni walevi wa kutupwa ...basiii wachina wanakwenda pale wanawanunulia pombe wazazi " kisha wanaondoka na mabinti wao ""
 
Safi sana nafurahi kukuona
Asante leo kuna kitu kimenitokea toka asubuhi sijakielewa kila nikitaka kuingia naona inagoma inataka niingie kwa browser nikiingia kwa browser bado inazingua nikajikuta najicheka tu

Nilivyo fungua data mchana ndio nikafutilia kujua nini tatizo
 
Asante leo kuna kitu kimenitokea toka asubuhi sijakielewa kila nikitaka kuingia naona inagoma inataka niingie kwa browser nikiingia kwa browser bado inazingua nikajikuta najicheka tu

Nilivyo fungua data mchana ndio nikafutilia kujua nini tatizo
Sio wewe ni wote tu unatakiwa uingie kwa browser ukubaliane na sheria za jf halafu unarudi kwa app
 
hahaaa huo ugonjwa mkuu"" wanaugua watu wengi mnoo wa taifa hili " shida kubwa ni ukosefu wa kutojitambua..na kukosekana kwa hamasa ya mafanikio ...
mtu amemeza maisha ya kukarili katika kichwa chake "" kwamba ukishakuwa mtu mzima kama utakosa elimu " basii kinachofuata nikuwa na shughuli ya kuweza kupata ugali tu " kisha kuoa ..kuzaa Watoto wa sio na idadi na kusubiri umauti....kuna sehemu moja hivi niliwahi kwenda nikakuta asilimia 95 ya wana kijiji wa hicho kitongoji ni walevi wa kutupwa ...basiii wachina wanakwenda pale wanawanunulia pombe wazazi " kisha wanaondoka na mabinti wao ""
Wachina

Kuna baadhi ya sehemu ndani ya Tanzania unaweza kuhisi sio Tanzania kuna mkoa mwaka Jana nilikuwa huko nilicho kiona acha watanzania waendelee kuwa masikini kutokana na uwezo wao kufikiri
 
Wachina

Kuna baadhi ya sehemu ndani ya Tanzania unaweza kuhisi sio Tanzania kuna mkoa mwaka Jana nilikuwa huko nilicho kiona acha watanzania waendelee kuwa masikini kutokana na uwezo wao kufikiri
hahaaa ..mkuu hatari "" sana kama unaishi katika hii mikoa iliyojitahidi kukaza msuli wa kutafuta maendeleo " huwezi kuelewa kabisa aisee haya mambo""...wachina mkuu"" wana tembeza dose huko kama hawana akili nzuri"" I bet baada ya miaka mi tano kile kijiji kitakuwa kimetapakaa watoto wenye damu ya kichina ""
 
Sio wewe ni wote tu unatakiwa uingie kwa browser ukubaliane na sheria za jf halafu unarudi kwa app
ha hahaa mwanzo nilidhani wame nipiga ban "" baada ya kusoma ujumbe ndio akili ikazibuka...yaani kama ingekuwa ni ban " nilijiandaa kuja na fake id nakutoa kichambo kwa mods wote mpaka "" ma house girl wao ""
 
ha hahaa mwanzo nilidhani wame nipiga ban "" baada ya kusoma ujumbe ndio akili ikazibuka...yaani kama ingekuwa ni ban " nilijiandaa kuja na fake id nakutoa kichambo kwa mods wote mpaka "" ma house girl wao ""
Hata mi nilijua ni ban ila nikaingia bila kulog in nikakuta hapana ndio nikarudi kufuatilia na kujua nini kinahitajika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom