Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Sawa mumyAhh nalipenda tuu
Sawa mumyAhh nalipenda tuu
Shemela huyoRamadhani maqbuul!!
Naam shemela!!Shemela huyo
UnaendeleajeNaam shemela!!
Ramadhani maqbuul!!
Namshukuru mungu, kila kitu ni qadar yake, mitihani tu hii.Unaendeleaje
Shukrani mkuu!!..kesho hiyo, all the best
Pole hope itapita nawe utabaki salamaNamshukuru mungu, kila kitu ni qadar yake, mitihani tu hii.
Ahsante shemela.Pole hope itapita nawe utabaki salama
...tulia chief....unaitwa ileje hukoNimetoka umeanza majigambo eeeh
yeaahh ...my sugar bananaMhhhh...ABJ huyoo![]()
Muziki: Jumatano Kuelekea Ramadhan
Ninakusalimia Kapuku mwenzangu na kukupongeza kwa kuweza kuchukua muda wako kupumzika hapa. Ujue nini, bila wewe Tumosa , Shunie , Transcend , shululu , BlessedHope , Lyon Lee , Nyagei , Da'Vinci , omarion5 , Clkey , ABJ , Mndali ndanyelakakomu , mzeewakungoa , Sakayo , Mkushi wa kusi , dumejeuri EMMYGUY , sab , hekimatele , hearly , sweetlee, SHIMBA YA BUYENZE , Bitoz , na wewe unayenisoma sasa, jukwaa hili lingekuwa ni la kawaida tu. Uwepo wako unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Asante Shunie kwa magazeti, ilikuwa siku nzuri kuamka na kusoma magazeti hapa.
Muziki sasa, siandiki mengi leo maana niko kwenye maandalizi ya kuianza Ramadhan na wakati wengine wanafunga, mimi nafungulia.
Hata mm ninawatakia funga njema waislamu wote binamuMuziki: Jumatano Kuelekea Ramadhan
Ninakusalimia Kapuku mwenzangu na kukupongeza kwa kuweza kuchukua muda wako kupumzika hapa. Ujue nini, bila wewe Tumosa , Shunie , Transcend , shululu , BlessedHope , Lyon Lee , Nyagei , Da'Vinci , omarion5 , Clkey , ABJ , Mndali ndanyelakakomu , mzeewakungoa , Sakayo , Mkushi wa kusi , dumejeuri EMMYGUY , sab , hekimatele , hearly , sweetlee, SHIMBA YA BUYENZE , Bitoz , na wewe unayenisoma sasa, jukwaa hili lingekuwa ni la kawaida tu. Uwepo wako unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Asante Shunie kwa magazeti, ilikuwa siku nzuri kuamka na kusoma magazeti hapa.
Muziki sasa, siandiki mengi leo maana niko kwenye maandalizi ya kuianza Ramadhan na wakati wengine wanafunga, mimi nafungulia.

Ww hufungi?Hata mm ninawatakia funga njema waislamu wote binamu![]()
![]()
Hata mm ninawatakia funga njema waislamu wote binamu![]()
![]()