Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Hivi wewe kweli wa kunifanyia vile siamini kabisayeaahh ...my sugar banana
Hivi wewe kweli wa kunifanyia vile siamini kabisayeaahh ...my sugar banana
nimefanyaje " mkuu "mbona wanitishaHivi wewe kweli wa kunifanyia vile siamini kabisa
nilipitiwa mkuu.nikasahau .sory "" nime shafanya editing..Hivi wewe kweli wa kunifanyia vile siamini kabisa
nimefanyaje " mkuu "mbona wanitisha
nilipitiwa mkuu.nikasahau .sory "" nime shafanya editing..





mm debe loteee nililokupigia jamani nahisi hata abj wangu hayupohahaaa...aiseee..kuna watu wengi nilikuwa sija wa tag "" but baada ya kichwa kutulia ndio nikawa nakwenda kuongeza taglist..."" so kuhusu ABJ nimem tag moyoni tu "" kule sithubutu kumtag ...naogopa nyaku nyaku "" aisee...mm debe loteee nililokupigia jamani nahisi hata abj wangu hayupo
hahaaa...aiseee..kuna watu wengi nilikuwa sija wa tag "" but baada ya kichwa kutulia ndio nikawa nakwenda kuongeza taglist..."" so kuhusu ABJ nimem tag moyoni tu "" kule sithubutu kumtag ...naogopa nyaku nyaku "" aisee...









nimecheka sanandio hivyo mkuu"" Jf ni sawa na bus liendalo mkoani "" usisubiri kuandikiwa "" ujumbe usemao abiria chunga mzigo wako "" usipojiongeza. ...basi jiandae kulilia bafuninimecheka sana
Mkuu mzima?...tulia chief....unaitwa ileje huko
Muziki: Jumatano Kuelekea Ramadhan
Ninakusalimia Kapuku mwenzangu na kukupongeza kwa kuweza kuchukua muda wako kupumzika hapa. Ujue nini, bila wewe Tumosa , Shunie , Transcend , shululu , BlessedHope , Lyon Lee , Nyagei , Da'Vinci , omarion5 , Clkey , ABJ , Mndali ndanyelakakomu , mzeewakungoa , Sakayo , Mkushi wa kusi , dumejeuri EMMYGUY , sab , hekimatele , hearly , sweetlee, SHIMBA YA BUYENZE , Bitoz , na wewe unayenisoma sasa, jukwaa hili lingekuwa ni la kawaida tu. Uwepo wako unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Asante Shunie kwa magazeti, ilikuwa siku nzuri kuamka na kusoma magazeti hapa.
Muziki sasa, siandiki mengi leo maana niko kwenye maandalizi ya kuianza Ramadhan na wakati wengine wanafunga, mimi nafungulia.

Mi mzima sakayo habar ya ujenzi wa Tanzania yetuHabari mndali
ndio hivyo mkuu"" Jf ni sawa na bus liendalo mkoani "" usisubiri kuandikiwa "" ujumbe usemao abiria chunga mzigo wako "" usipojiongeza. ...basi jiandae kulilia bafuni





shenzy sana wewechief Niko Salama kabisa...hofu kwako ""brigediaMkuu mzima?
Njoo mmu huko mambo ni hivichief Niko Salama kabisa...hofu kwako ""brigedia
hahaaa... huyo shenzi " na mdai " tafadhali kama una namba zake nitumie ""shenzy sana wewe
Tupo tunapambana na hali zetu maanachief Niko Salama kabisa...hofu kwako ""brigedia
naja mkuu..kunani hukooo ..kuna mtu ana chambwa na mfungo wote huu"" ?Njoo mmu huko mambo ni hivi
KWELI NIMEAMINI MWANAMKE AKIWA MPUMBAVU ZINAZOUMIA NI SEHEMU ZAKE ZA SIRIhahaaa... huyo shenzi " na mdai " tafadhali kama una namba zake nitumie ""
naja mkuu..kunani hukooo ..kuna mtu ana chambwa na mfungo wote huu"" ?




nimekuwekea linkwallahi NI kweli "" acha tupambane maana heshima na utu wa mtu " vina tegemea haswaa uwajibikaji wakeTupo tunapambana na hali zetu maana
Asie Fanya kazi na asile