Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kazi ya jogoo sio kulea vifaranga

Kazi ya jogoo ni kuhakikisha kukuwa wanataga mayai yenye uwezo wa kutotolewa

Sasa nakuambia kuwa Mimi kazi yangu ni kuhakikisha wanawake wanapata watoto sio kulea

Kutelekeza sio kazi yangu kulea Mimi ni kutungisha mimba tu ndio kazi yangu
duuuhhh.. daaahh yule mke wangu kipenzi hawezi kuwa na ubongo wa mende "" mpaka akubali kupachikwa mimba " kukimbiwa na kuitwa " single mother...yule mke wangu ni " gifted bhanaa...akili zimefika kwao pale "" hawezi kuwa zwazwa wakiwango hicho...so namba unayoipiga kwa sasa haipatikani..labda upande juu ya mnara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom