hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,622
- 74,007
Shem " hzo comment sijazi post mie " mkuu"" account yangu ilikuwa hacked ..so " tuache tu mi na mdogo wako "" maana tumeshapendana "" na tunamalengo chanya kwaajili ya ustawi wa maisha Yetu "" tafadhali sana bwana shemeji ""....Yule sio mke wako wala huna hadhi ya kumiliki mtoto mrembo kama huyo
Hasa huyu dada yangu wewe ukihitaji sana unaweza kuwa mpenzi mtazamaji tu
daaahh Hawa hackers nao " ona sasa wanataka kutia kitumbua changu mchanga ""