Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Nipo naanda dawa yake hapa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ooooh
Nipo naanda dawa yake hapa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ooooh
Nimemmiss huyo mtu uwe unanitag huko nisome habari zake niliona lemutuz aliscreenshot ile habari aliyotoa mngoa kucha eti ashtakiwehahaa..apewe life ban kwani JF wao inawahusu nini "" alikuwa jukwaa la habari na hoja mchanganyiko"""
Mimi sio kijana ni mheshimiwa wa vyote na wewe ukiwemohahaa... mng'oa kucha ..yupo juzi katoka kuanzisha Uzi....wadau wakachangia fresh tu...hebu kwanza mwambie kijana mng'oa kucha ndiye nani...maana naona ananichezea...
Inapendeza sanaKuwa huru mkuu hawa wote ni ndgu ukiingia hapa nawe unakuwa ndg yetu
Kijana jiangalie kama una viungo vyako vyote nimetuma maskauti wangu hapohahaaaa...kwaherini"" mwambie brother zile comment ajifanye kama hajaziona tu""
haha hahaa anawazimu "" kweli "" akili zake zimehamia tumboni " serikali haiamini uchawi"" though anatumia fake I'd "" utampata wapi....haina shida Nita kutag wala usijali "" wewe tena " hilo halina " pingamizi madamelNimemmiss huyo mtu uwe unanitag huko nisome habari zake niliona lemutuz aliscreenshot ile habari aliyotoa mngoa kucha eti ashtakiwe
OooohSio atembee uchi kasema anavua shati
Hii kauli niliongea sehemu watu walicheka sana![]()
![]()
![]()
![]()
Kaka huyo
Sawasawa kakaNipo naanda dawa yake hapa
Hahahah asante sana hearlyhaha hahaa anawazimu "" kweli "" akili zake zimehamia tumboni " serikali haiamini uchawi"" though anatumia fake I'd "" utampata wapi....haina shida Nita kutag wala usijali "" wewe tena " hilo halina " pingamizi madamel
KaribuInapendeza sana
Hii kauli niliongea sehemu watu walicheka sana
Nilivyo wapa ufafanuzi wanijikuta wanashangaa kwanini iko hivyo

brother sory"" Shem " account yangu ilikuwa hacked ..ndio nimetoka kui unlock muda huu"" so hizo comment zote zinazo wasilishwa na I'd yngu "" sijazi comment mid " ni hackers hao walikuwa wanajaribu kutugombanisha"" pole kwa usumbufu aisee...Kijana jiangalie kama una viungo vyako vyote nimetuma maskauti wangu hapo
Yule sio mke wako wala huna hadhi ya kumiliki mtoto mrembo kama huyoduuuhhh.. daaahh yule mke wangu kipenzi hawezi kuwa na ubongo wa mende "" mpaka akubali kupachikwa mimba " kukimbiwa na kuitwa " single mother...yule mke wangu ni " gifted bhanaa...akili zimefika kwao pale "" hawezi kuwa zwazwa wakiwango hicho...so namba unayoipiga kwa sasa haipatikani..labda upande juu ya mnara
Kwetu hakuna mbege kuna kimpumu na kihambulehahaa...kaka kalewa mbege huyu sio bure
Sawa ila huyu sitaki awe shemeji yangu maana anaonekana akili yake bado ya kitoto sanaNamshawishi ni kwa huyu hearly na wameshakubaliana
Huyu dadangu simwelewi kwa sasa japo kajitetea bila kujua juzi nimeshinda hapa nilijua kinacho endeleaNdo uone kaz ya dada yko