Makapuku Forum

Makapuku Forum

ha haaa...Nipo kwenye kitengo cha kampeni pale UVCCM so nilikuwa najaribu kupiga tizi ili nione kama nitaziweza purukushani za siasa....lakini huyu Tumosa ..akili zake kama tundu lisu "" kanitoa kwenye mood yote
Saizi nimejitosa kugombea jimbo ulilopo ila ukose na ulicho nacho

Maana nimegundua wewe sio mtu mwema kabisa hasa kwenye mahusiano ya watu
 
Saizi nimejitosa kugombea jimbo ulilopo ila ukose na ulicho nacho

Maana nimegundua wewe sio mtu mwema kabisa hasa kwenye mahusiano ya watu
Looooohh jibaba fisadi weweee"" yule Binti uliyempa mimba kisha ukamtelekeza ulishamalizana nae "" au wataka kufisadi mapenzi Yetu tu"" halafu upotee kama ulivyo mchukulia mdogo wako yule mkewe """
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom