Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Mi nimekuja na dawa yaowanakulaga tu
Mi nimekuja na dawa yaowanakulaga tu
Ww vipiii sio anammendea ni mbebez wakeHuyo c anammendea mdogo wetu ABJ
Watu ni wengi kweli humu , hadi naona aibu kuchukua sahani nijiservie mimiHapa ni selfservice jisavie mwenyewe mkuu
Karibu sana sabAsante, ndio nisha fika mkuu
Saizi nimejitosa kugombea jimbo ulilopo ila ukose na ulicho nacho
Maana nimegundua wewe sio mtu mwema kabisa hasa kwenye mahusiano ya watu

WoyoooooooooMi nimekuja na dawa yao
Hivi mngoa kucha yupohahaaa...mimi wala siongei na wewe....@mng'oa kucha brother "" nishikishie adabu huyu mtu aisee.....
Mwambie kuanzia leo hata mpata tena Mimi ndio nimesema na kama anabisha mwambie mi natokea ule ukoo wa
( maramanyafu)
Asante shunie, unaonekana mwenyeji hapa, nishike mkono plKaribu sana sab
Unamjua huyo lakini?Looooohh jibaba fisadi weweee"" yule Binti uliyempa mimba kisha ukamtelekeza ulishamalizana nae "" au wataka kufisadi mapenzi Yetu tu"" halafu upotee kama ulivyo mchukulia mdogo wako yule mkewe """
hahaa... mng'oa kucha ..yupo juzi katoka kuanzisha Uzi....wadau wakachangia fresh tu...hebu kwanza mwambie kijana mng'oa kucha ndiye nani...maana naona ananichezea...Hivi mngoa kucha yupo
Huku mm ndio nyumbani kwetu karibu sana huwezi potea jisikie upo nyumbaniAsante shunie, unaonekana mwenyeji hapa, nishike mkono pl
Kazi ya jogoo sio kulea vifarangaLooooohh jibaba fisadi weweee"" yule Binti uliyempa mimba kisha ukamtelekeza ulishamalizana nae "" au wataka kufisadi mapenzi Yetu tu"" halafu upotee kama ulivyo mchukulia mdogo wako yule mkewe """
hahaaaa...kwaherini"" mwambie brother zile comment ajifanye kama hajaziona tu""![]()
![]()
![]()
![]()
Na ujue huyo ndo kaka ake ABJ ukija nyumbani utamkuta huyo na mkuki mlangoni so kuwa makini
Jamani alikuwa jukwaa gani basi nilijua alipewaga life banhahaa... mng'oa kucha ..yupo juzi katoka kuanzisha Uzi....wadau wakachangia fresh tu...hebu kwanza mwambie kijana mng'oa kucha ndiye nani...maana naona ananichezea...
Kuwa huru mkuu hawa wote ni ndgu ukiingia hapa nawe unakuwa ndg yetuWatu ni wengi kweli humu , hadi naona aibu kuchukua sahani nijiservie mimi