Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Nafikiri ni wazima wale walioshinda humu, mzima mkuuMmeshindaje humu wandugu???
Nafikiri ni wazima wale walioshinda humu, mzima mkuuMmeshindaje humu wandugu???
Mkuu rekebisha hiyo 'nafakiwa' maana kwa tunao penda kusoma kingereza kwa kiswahili itatuondolea uwepo

Teh tehHERI KIJANAASKINI MWENYE HEKIMA
KULIKO
mfalme mzee mpumbavu
Tumeshinda poa mkuu.Mmeshindaje humu wandugu???
Mi mzima kabisa kaka, hyo zaburi ndo neno la leo sio?Nafikiri ni wazima wale walioshinda humu, mzima mkuu
Bila shaka alikuwa kalewaUsinikumbushe yule jamaa hewa.
Aisee.Teh teh
"Heri Kapuku mgen mwenye hekima kuliko kikongwe mzoefu mpumbavu"
Km tamthiliya ya Isifingo ...km mtu haipendi ananuna maisha take yoteGoodluck makapuku wa Mungu, big up waliowaza kuanzisha uzi, big up wachangiaji walio active maana ndo wanauweka uzi uonekane always kwenye chart
Mamluki na wasio na mapenzi mema na makapuku poleni. Makapuku ndo habari ya JF
Kuna verses 3 mkuuMi mzima kabisa kaka, hyo zaburi ndo neno la leo sio?
Km tamthiliya ya Isifingo ...km mtu haipendi ananuna maisha take yote
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.................

Teh teh
"Heri Kapuku mgen mwenye hekima kuliko kikongwe mzoefu mpumbavu"

Duh! Pole sana kaka, taratibu usijali.Maisha kumbe huwa yanapinduka kaka....muhindi kabana...eti naye anatumbua!
Kwema sanaaaNiko poa ndugu, kwema?
Mkuu hapo hujaona typing error!
Blue monday yangu imeenda fresh broTumeshinda poa mkuu.
Habari ya jumatatu.
Sawa bibi ulale unono.Lasa salama lala unono lala utamu lala kuota vitu vizuri ukiona jin kunywa maji you will chase her/him our. nite nite makapuku.
ShemdarlingDuh! Pole sana kaka, taratibu usijali.