Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Mimi hata sipajui make tokea kipindi kile shunie wanatupiga mikwara sijaendaa

Mimi hata sipajui make tokea kipindi kile shunie wanatupiga mikwara sijaendaa

Duuuh kuna siku niliwaza kuwa huyu jamaa atupie ule uzi wa kusema anakosa wa kuwa nae sijamwona tenaShedede afande yuko wapii
Duuuh mwendo wa kubadili majinaCc
Shadrack K Lwila
Binamu naamini siku inaendelea vzuri japo sio sku yako.....watanikata jina langu kwenye daftari la wapigakura la dick-carrying society
Unauhakika sikujui mkuu?Wala sijaji expose kabisa.
Trust me.
Bado hakuna anijuaye humu.
Siku akitokea mtu akanijua ndo nitaachana na JF.
Until then...bado natamba. Akili kubwa hii.
Abeee
Miss you more my brother!!I miss you so much madam Sakayo
Hahaa... wapendwa katika Kristu.Mpendwa katika Bwana habari ya wewe
Naumwa macho ujuee...
JamaniNaumwa macho ujuee...
Hospital si wewe mama Naveen.Jamani
Pole my babe... Hospital umeenda lakini
BabeHospital si wewe mama Naveen.
Nikikuona tuu napona mama...! I am deadly sick of you.
Hebu niandalie yale maji ya kuoga !Jamani
Pole my babe... Hospital umeenda lakini


