Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Wee nenda kama sio sehemu yako utatoka tuuMm natamani nifike lakini vikwazo vingi

Wee nenda kama sio sehemu yako utatoka tuuMm natamani nifike lakini vikwazo vingi

Poleni sana ila yanapita maana kilicho tokea nikakumbuka yule dereva wa daladala alie pigwa risasi na mkuu wa mkoa wa tabora kisa kikawa hakielewekiTunasafiri kwa wasi wasi, maana risasi za hewani zinapata watu
Mmmh..Kidogo nkutukane nikakumbuka kua nishaokoka..
Ila ww ni nnya ya ngurue
Bila kusahau ishu ya Ditopile kumtwanga shaba dereva wa hiace na life likasonga poa tu.Poleni sana ila yanapita maana kilicho tokea nikakumbuka yule dereva wa daladala alie pigwa risasi na mkuu wa mkoa wa tabora kisa kikawa hakieleweki
Na nikakumbumbuka mwangosi pale nyororo naona vyote
Mungu atupe roho ya uvumilivu na kuyamaliza kwa amani
Kweli kabisa sasa anataka nirudi nyuma wakati naona adui na mzidi nguvuUkiishiwa silaha unatafuta chimbo la muda ili ujipange
Alitukana kimoyomoyo huyo sio bureMmmh..
Broo! Sio vizuri
Nipo nae hapaHahahaa...
Huwezi ! Msalimie auntie shunie
Kaka anguChikamoo wenyeji mi mgeni ila mkumbuke ni mgeni anae kuja kuomba msaada hajaja na zawadi
Kama akili za binamu navozijua kakaa ntashindwaje mmWee nenda kama sio sehemu yako utatoka tuu![]()
Ubarikiwewa makapuku wote nawasalimia
Yaani mungu atupe uvumilivu was kutoshaBila kusahau ishu ya Ditopile kumtwanga shaba dereva wa hiace na life likasonga poa tu.
Hatari sana
Naam dadakeKaka angu
Dada ulimkafu?Ubarikiwe
Mama shikamooUbarikiwe
Nilileft mimi...kama wa kukaa kaa tuu..Kama akili za binamu navozijua kakaa ntashindwaje mm
Mimi hata sipajui make tokea kipindi kile shunie wanatupiga mikwara sijaendaaNilileft mimi...kama wa kukaa kaa tuu..
It is your choice bruh.
Na usiende mkuu.Mimi hata sipajui make tokea kipindi kile shunie wanatupiga mikwara sijaendaa
AsanteeeNa usiende mkuu.