Story.:...............
........Sauti ikasikika " paaaaaah! PwaaaaaaaA!!, Mara kimya kikatanda kwa dakika 3 na sekunde 30 hivi, ikafatiwa na kishindo kikubwa " khwaaaaaaA!"upande wa kushoto mwa chumba alipokuwa Franklin Shczyln akiufanyia uchunguz mwili wa marehemu .
Huku akiwa amebanwa kifua anahema kwa shida, jasho likimtoka, ghafra akaja jamaa mmoja mwembamba, mrefu wa kimo amevaa gloves mkononi na black glass, akaisogelea ile meza akachomoa kitu mfukon na kukiweka kwenye chombo kidogo mithili ya kisosi kilichokuwa mezan, na kutoweka kusiko julikana.
Franklin akajikongoja hadi pale mezani nakuchunguza kile kitu!! Ooooooh my God !!(alishtuka , huku mapigo ya moyo yakimwenda kwa mbio na kubaki bila kuwa na usemi). Hakuamin.macho yake baada ya kuona kipande cha ganda la risasi, ambacho n tofauti na alichokitoa kwenye mwili wa marehem!
Ndo mawazo yakamjia haraka kuwa tayari ushaid wa ukwel ulikuwa uishaibwa, na ule wa uongo ndo ulikuwa umepandikizwa!!
Jaman marehemu, kwanini , why?kulikoni? Nifanye nini sasa ili hak itendeke?! ( alijiuliza maswali lukuki ,machozi yakimbubujika! Huku akisema hili na lile ) ..........
Itaendelea.....( lee empire ;The Fake Detective )