Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tafasiri Unavyoweza: Pole Akwilina

Sitaandika mengi leo, nitaandika machache tu na kukuachia wewe nafasi ya kutafasiri Unavyoweza. Kila uhai wa raia wa nchi hii unathamini ya kulindwa kwa kila hali. Ndiyo maana ya kuwa mwananchi, utalindwa na jeshi, polisi , family, jamii na utalindwa na Mimi na wewe.

Wapo madhamana tuliowapa jukumu la ulinzi wa raia na mali zao, hawa tunawaita kwa jina zuri, jina lenye kukuhakikishia usalama likitamkwa. Lakini imekuwa sivyo, matukio mengi kadhaa ya kiuhalifu wa damu za raia yana mkono wa polisi. Tuna polisi wanaofurahia kufyatua risasi kwa watu wasio tishio kwao. Maandamano yaliyosababisha kifo cha mtanzania Akwilina ni moja ya maandamano ambayo hayakuwa na madhara si tu kwa raia na mali za serikali bali kwa polisi pia.

Tunaweza kuwalaumu watu kadhaa, blame game, lakini haitakuwa na suluhu kama tutaendelea kuruhusu Uhuru wa maoni , taarifa, maandamano ushikiriwe na watu wachache. Kukaa mbali na kujitenga hakukuweki salama hata siku moja. Akwilina ameenda, kapigwa risasi akiwa ndani ya daladala, hakukuwa na maandamano ya daladala kiasi kwamba risasi kulenga kuua irushwe.

Usidhani uko salama kwa polisi wa aina hii wanaoongozwa na kamanda Mambosasa ambaye tafasiri yangu kwake ni kiongozi mbovu asiyejua anafanya nini ofisini. Lakini hebu jiulize, kanzu ikichafuka baraghashia itakuwa safi kweli!? Pole Akwilina
Binamu shikamoo naomba nyimbo ya dito nabembea
 
Abj ndo nani binamu Obe au ashura bin juma ??

yeah ndo huyo huyo mjomba, unakumbuka hapa ulizimia mapigo yake ukaondoka naye kisirisiri. Mjomba ulitisha, hukuona kinywaji kingine cha kumnunulia isipokuwa bia ya polisi, Safari lager

africanwomandancing.gif
 
Marhaba aunt yangu, najiaminisha ulikuwa na wikend njema. Asante kwa kutouliza wikend yangu ilikuwaje.

Nyimbo hiyo itakujia baada ya kipengele cha muziki ambacho kinakuja ndani ya dakika kumi toka sasa
Binamu najua week end yako huwa inaisha vizuri sana na huku kwangu kwakweli mambo si mabaya

Asante binamu yangu kwa kusikiliza hitaji langu ndio mana nakupenda halaf vipi kuhusu korosho zangu jaman
 
Yaan usiache kumkula Dada angu yaan umkule we mkuleee tu akisema kachoka mwambie shunie kasema nikukule tuuu halaf vuta picha unakulana na mtu mnapendana woiiii
Mimi namkula tuu sasa hakuna namna.

Wacha tuu tulane aisee! Vitu vyenyewe tumepewa bure..! So sisi wawili tunavitumia tuu..ila ni sisi wawili tuu...

Ila leo utakuwa unakula heineken..! Sio kwa kushadadia hivyo.
 
Mimi namkula tuu sasa hakuna namna.

Wacha tuu tulane aisee! Vitu vyenyewe tumepewa bure..! So sisi wawili tunavitumia tuu..ila ni sisi wawili tuu...

Ila leo utakuwa unakula heineken..! Sio kwa kushadadia hivyo.
Yaan tena hata vat havilipiwiii woiii kulaneni tu jaman daah huu mchezo mtamu sana
 
Binamu najua week end yako huwa inaisha vizuri sana na huku kwangu kwakweli mambo si mabaya

Asante binamu yangu kwa kusikiliza hitaji langu ndio mana nakupenda halaf vipi kuhusu korosho zangu jaman


...korosho nilileta nikamuonjesha mama mchuchu, hakuzipenda na nikajua nawe hutozipenda. Nikaziuza nikarudi Mtwara.
Jinunulie karanga kwanza, zisipokupalia then nijulishe nikuletee kiroba kizima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom