Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Makaveli10 ndio anamjua Jestkilla huwa ni killer kweli kweliHahaaa..
Msalimie jestkilla na makaveli
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Makaveli10 ndio anamjua Jestkilla huwa ni killer kweli kweliHahaaa..
Msalimie jestkilla na makaveli
Naam mkuuTranscend
Najua upo lile jukwaa la siri..

Asante binamu ...japo kwa taarifa ambazo nazifanyia utafiti nasikia juzii yalikutokea ya kukutokeaNatumaini wote tulikuwa na wikend njema, leo ni juma jipya kabisa. Nikutakie Jumatatu njema na wiki nzima yenye mafanikio
Asante binamu ...japo kwa taarifa ambazo nazifanyia utafiti nasikia juzii yalikutokea ya kukutokea
Na mim ndo maana ilinipa wakat mgumu kuamini eti binamu wangu mwenye mbinu zake chafu na safi anakamatwa na mke wa mtu gest na kupigwa kiboya boya wakati huyo mtu hata kwao na huyo binti hawamjui bora mm walishawah kunisikia ...Anko, fanya upelelezi kwanza ndo utagundua kuwa ya kunifika hayakunifikia niliyakwepa, unakumbuka kipindi kile unataka kusomewa albadiri na yule imam mwenye mke shombe shombe!, Basi nami niliiga mbinu zako
Kidogo nkutukane nikakumbuka kua nishaokoka..Ujinga Na Ushamba Ni Kujiita Kapuku,aliyeanzisha Huu Uzi Hajielewi,,,,,hali Yakujiita Tu Kapuku Ni Tatizo Lakwanza Kujikomboa Kutoka Kwenye Ukapuku,,,ila Tutafika Tu Tunapoelekea!!
SipoNajua upo lile jukwaa la siri..![]()
Ahsante sana mtaasisiNatumaini wote tulikuwa na wikend njema, leo ni juma jipya kabisa. Nikutakie Jumatatu njema na wiki nzima yenye mafanikio
NakuchunguliaUjinga Na Ushamba Ni Kujiita Kapuku,aliyeanzisha Huu Uzi Hajielewi,,,,,hali Yakujiita Tu Kapuku Ni Tatizo Lakwanza Kujikomboa Kutoka Kwenye Ukapuku,,,ila Tutafika Tu Tunapoelekea!!
Unaharibu kwaresmaKidogo nkutukane nikakumbuka kua nishaokoka..
Ila ww ni nnya ya ngurue
HahahaChikamoo wenyeji mi mgeni ila mkumbuke ni mgeni anae kuja kuomba msaada hajaja na zawadi
Mkuu habari za hapo ulipoHahaha
Salama kabisa mkuu, habari ya TDMMkuu habari za hapo ulipo