Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nataka nijue zawadi gani utampa nani...sema taratibu , ninamuandalia zawadi ya valentine , sitaki mtu ajui yaani ni sapurayizi
Nataka nijue zawadi gani utampa nani...sema taratibu , ninamuandalia zawadi ya valentine , sitaki mtu ajui yaani ni sapurayizi
Shikamoo binamu
Udaku![]()
![]()
![]()
Hivi binamu kwa mama mambo yalitikiii make sare yangu nahisi hainieneii tena na kitambi changu
Dawa yao mbona ipoo....sawa sawa kabisa anko, huu ni uonevu na unyanyasaji wa kijinsia. Tumosa na Shunie wananinyanyansa kijinsia wakati hata majeans huwa sivai
We ni nani nipo serious
.....hanahahhahaha! Mjomba nimecheka sana Hadi nikapiga chafya maana nimekula makande




mjomba ako nimemuuliza swali kanipa like hajanijibu
Vipiiii na mimacho yako
Muziki: Mheshimu Anayekujengea Kujiamini
...u khali gani Kapuku mheshimika, natumaini ulikuwa na wikend nzuri na hasa kama wewe ni shabiki wa Manchester United na Arsenal na kwa Kujiamini ulibet 🙂. Mimi wikend ilikuwa nzuri sana maana "zis iz Simba bhana" tulifanya yetu pale tuliposimamia shoo ya bao nne.
Nimefurahi leo kiukweli tangu mornie pale nilipomsoma anko wangu Lyon Lee akituletea magazeti. Ujue anko alinilalamikia kuwa auntie Shunie ambaye ana app ya kubet, mkeka umetakata na alipovuta mpunga basi simu akaweka silence, ukipiga hakusikii, labda utume meseji. Hongera kwa wote wenye ujasiri wa kubet. Mheshimu sana aliyekujengea uwezo wa kujiamini kubet.
Muziki sasa, burudika na ngoma hii kuusindikiza usiku wako.
BTW, nimefurahi kukuona tena BlessedHope na kesho kutwa ndo VD, nakutafutia zawadi, nitawajulisha wote wanaosema kwa namna navyokufuatilia Basi nastahili phd
Nipe updates...sema taratibu , ninamuandalia zawadi ya valentine , sitaki mtu ajui yaani ni sapurayizi
NitagMambo ya kizee ndio mambo gani hayo
NgaoWe ni nani nipo serious
Binamu ebu niambie wewe mwenyewe hataki kunijibu mana sielewi ni ngao ya kidonge au ya maji yaanHumjui au unatania? Tango na chumvi
Wewe ndio unanivuruga yaan sikuelewi mimi
Binamu bhanaaa lakini ndo binamu wangu wa faida japo jana kalala miguu 6 make alianziaa sehemu akamalizia sehemu japo anapendaga kuwa zile sehemu za siri siriiiii ....
Nakusalimia kapuku mheshimika make wewe ndo unalifanya hili jukwaa kuwa la kipekeee ...hapa najua mtajiuliza kaandika nani lakini ndo hivo ni mimi mwenyewe Obe ...soon magazeti msevu 500

Ngao
Cc Obe
.....hanahahhahaha! Mjomba nimecheka sana Hadi nikapiga chafya maana nimekula makande
Kheeee shangazi jaman umezuka kama kizukaHV bado hujampata tu huyo BH?!!!
Kwani umeahirisha kwa mama yetu BH....sawa sawa kabisa anko, huu ni uonevu na unyanyasaji wa kijinsia. Tumosa na Shunie wananinyanyansa kijinsia wakati hata majeans huwa sivai