Nakupenda pia Tumosa
Nitamsalimia mkuu..Chief kwema??
Nionee valeee
Ebu muiteee nimsalimieeNitamsalimia mkuu..
Au bado anakuogopaa ??
Vale aniogope kwani mimi nina pembe kama shwatani?Au bado anakuogopaa ??

Si ndo nashangaaa ....Vale aniogope kwani mimi nina pembe kama shwatani?![]()
Kumbe ni sakayo..?Si ndo nashangaaa ....
Sakayo mwenye sura ya babake yuko wapi


Shikamoo binamuTafasiri Unavyoweza: Kabla ya Kutii Mamlaka Jiulize Kwanza
Kama kawaida tunakutana tena hapa kwenye kipengele ambacho unaruhusiwa kutafasiri unavyoweza, yaani hapa ni kama chuo kikuu, mawazo yako yanaheshimiwa hata kama yanapingwa. Hakuna mtu anayejua kila kitu kwa hiyo hata kwa kile ambacho umebobea na akaja barubaru kukieleza muheshimu utajifunza kitu.
Kufuata sheria ni jambo si tu la lazima bali ni la msingi. Kwa sheria ndipo mimi na wewe tunakutana hapa na kubadilisha mawazo, bila sheria kila kitu kingekuwa shagalabhaghala, isingekuwa tu potelea mbali bali uungwana usingekuwepo maana binadamu ni wanyama na kadri unavyopata moja ndo hamu ya kupata mia inakuja. Sheria ni muhimu ifuatwe.
Kufuata sheria ni jambo la muhimu, hakuna ubishi kwa hili japo kama raia mwenye akili timamu ni lazima ujiulize hii sheria ni halali na inawamulika wote? Au ni sheria inayomuangazia mmoja na kumwekea giza mwingine. Siongelei sheria kandamizi peke yake naongelea sheria pendeleo pia. Sheria pendeleo ni ile ambayo inaonesha upendeleo wa wazi kwa mtu au kikundi cha watu ilhali ikiwazibia wengine haki ile ile wanayoipata wao.
Kwa mantiki hii basi, unapotii sheria na ninasisitiza utiifu wa sheria, ni lazima ujiulize hii sheria ni sheria kweli au dhamiri yako inakutuma kuwa sheria hii ina walakini kwa kutoa upendeleo wa wazi au watekelezaji wa sheria hii kuona kenda na kujidai hawaioni kumi.
Ukiona dhamira yako inakutuma na kukuelekeza kuwa sheria fulani au watekelezaji wa sheria fulani wanakosea na ukajiridhisha kichwani kwako hata ukiwa mmoja basi una haki ya kutoitii sheria hiyo. Ndiyo utaingia matatizoni na watekelezaji wa sheria lakini kwa wote wenye kujifikiria na kusikiliza hoja yako watatambua kuwa wewe ndo raia mfuata sheria na unaitii. Tafauta maarifa na tafasiri unavyoweza.
Binamu shikamoo naomba nyimbo ya rayvanny chuma uleteTafasiri Unavyoweza: Kabla ya Kutii Mamlaka Jiulize Kwanza
Kama kawaida tunakutana tena hapa kwenye kipengele ambacho unaruhusiwa kutafasiri unavyoweza, yaani hapa ni kama chuo kikuu, mawazo yako yanaheshimiwa hata kama yanapingwa. Hakuna mtu anayejua kila kitu kwa hiyo hata kwa kile ambacho umebobea na akaja barubaru kukieleza muheshimu utajifunza kitu.
Kufuata sheria ni jambo si tu la lazima bali ni la msingi. Kwa sheria ndipo mimi na wewe tunakutana hapa na kubadilisha mawazo, bila sheria kila kitu kingekuwa shagalabhaghala, isingekuwa tu potelea mbali bali uungwana usingekuwepo maana binadamu ni wanyama na kadri unavyopata moja ndo hamu ya kupata mia inakuja. Sheria ni muhimu ifuatwe.
Kufuata sheria ni jambo la muhimu, hakuna ubishi kwa hili japo kama raia mwenye akili timamu ni lazima ujiulize hii sheria ni halali na inawamulika wote? Au ni sheria inayomuangazia mmoja na kumwekea giza mwingine. Siongelei sheria kandamizi peke yake naongelea sheria pendeleo pia. Sheria pendeleo ni ile ambayo inaonesha upendeleo wa wazi kwa mtu au kikundi cha watu ilhali ikiwazibia wengine haki ile ile wanayoipata wao.
Kwa mantiki hii basi, unapotii sheria na ninasisitiza utiifu wa sheria, ni lazima ujiulize hii sheria ni sheria kweli au dhamiri yako inakutuma kuwa sheria hii ina walakini kwa kutoa upendeleo wa wazi au watekelezaji wa sheria hii kuona kenda na kujidai hawaioni kumi.
Ukiona dhamira yako inakutuma na kukuelekeza kuwa sheria fulani au watekelezaji wa sheria fulani wanakosea na ukajiridhisha kichwani kwako hata ukiwa mmoja basi una haki ya kutoitii sheria hiyo. Ndiyo utaingia matatizoni na watekelezaji wa sheria lakini kwa wote wenye kujifikiria na kusikiliza hoja yako watatambua kuwa wewe ndo raia mfuata sheria na unaitii. Tafauta maarifa na tafasiri unavyoweza.
Vale aniogope kwani mimi nina pembe kama shwatani?![]()
Shemela shululu shikamooNakupenda pia Tumosa
Binamu salaaaam