Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Binamu ebu niambie wewe mwenyewe hataki kunijibu mana sielewi ni ngao ya kidonge au ya maji yaan
...hii aunt ndo ile ngao ya kwanza kabisa yaani ilitoka pamoja na tangazo la Ngetwa
Binamu ebu niambie wewe mwenyewe hataki kunijibu mana sielewi ni ngao ya kidonge au ya maji yaan
....nilijua watoto watasoma halafu waende wakawaambie watoto wenzao anko Obe kajamba, kwa vile umsema wewe basi mimi sijasema




MhTulia, mambo yanaenda na muda, dakika tatu kuanzia sasa kipenegele cha muziki kinakuja
Sawa binamu...hii aunt ndo ile ngao ya kwanza kabisa yaani ilitoka pamoja na tangazo la Ngetwa
Utamuekea na zile ndude
aaah! Hizo ndude hapna kwa kweli haziendi kokoteNimekuhamuSawa binamu
....hii ndo ngao halisi sasa kwa taarifa yako.
ngao zinamchanganya Shunie...hapa Cha muhimu ni kuvaa kanzu kama ya nabii Tito tu , unakuwa huna haja ya kuhofia kitambi na usifunge mkwiju

HahahaaaaNdio nimempa shikamoo aje ajionee
Me pia jirani yake dadaNimekuhamu
OukeyHalisi![]()
![]()
![]()
....nilijua watoto watasoma halafu waende wakawaambie watoto wenzao anko Obe kajamba, kwa vile umsema wewe basi mimi sijasema

Akuuu...zile hazikosekana, nilikuwa na mpango wa kumtafutia used lakini nimeona mpya zitampendeza zaidi. Azichane mwenyewe kwenye railoni.
Na wewe unazipendaga?

Upo lakini! Dadako hajambo?Me pia jirani yake dada
Najionea mashkolo mageni![]()
![]()
ngao zinamchanganya Shunie
Niko poa wewe je, mzima sanaUpo lakini! Dadako hajambo?