EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Asante shem wangu.Pole shem
Asante shem wangu.Pole shem
Asante kaka, tuko pamoja.Pole sana kaka.
Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Morning shemAsante shem wangu.
Asubuh ni njemaHabari ya asubuhi wapendwa katika Bwana.
nawe pia mkuuAsubuh ni njema
ONCE A KAPUKU, ALWAYS A KAPUKU
One love kapukuz!![]()
ONCE A KAPUKU, ALWAYS A KAPUKU
One love kapukuz!![]()

From zero to heroesWell said, jukwaa limetoa watu mbali sana hili
Poleni rafikiAsante braza, tuko pamoja.
Jamani unampa madongo mtu wangu aisee!!!Poa...sasa nimekusoma mwehu! Binti wa kona bar, ndo unarudi kutoka kazini au?
Mupenzi naomba umsamehe sizzya007 post #30802
Nakupenda sana shem japo vijembe humu haviepukiki ni chachandu ya mijadala yetuHahaaaa
Shem me sina hiyana na wewe

Mupenzi naomba umsamehe sizzya007 post #30802
Hayuko sawa kichwani kwani kapigwa chini na jimena so anamsongo wa maisha, mimi najua uthamani wako japo amekuita ati wewe changu!!!?

From member to JF-Expert member, hahaaaaaaFrom zero to heroes
Hili tabasamu lako hunimaliza ndani mwanguManeno ya kuelimishana na kuwekana sawa tu
Within few daysFrom zero to heroes
naona unatupa ndoano baharini.. ok, ngoja tusubiri shemeji kazima taaNakupenda sana shem japo vijembe humu haviepukiki ni chachandu ya mijadala yetu![]()
![]()
![]()
![]()
SORRY PAROKOMupenzi naomba umsamehe sizzya007 post #30802
Hayuko sawa kichwani kwani kapigwa chini na jimena so anamsongo wa maisha, mimi najua uthamani wako japo amekuita ati wewe changu!!!?
Hili tabasamu lako hunimaliza ndani mwangu
niimbie basii......sura yake mtaratibuu, mwenye macho ya aibu.....