Tooignored
Jichunguze haupo sawa kabisa.
MUHIMU:: Usiishi jamiiforum kwa hisia kali
Poa...sasa nimekusoma mwehu! Binti wa kona bar, ndo unarudi kutoka kazini au?

Fanya utafiti kwanzaNaona siku hizi makapuku wameshuka morali sasa sielewi ni kuuzoea ukapuku ama kuna makapuku ambao ukapuku wao umeisha!
President Bitoz kama vipi muwape vyeti makapuku wanao hitimu wasiwe wanaondoka kimya kimya kama Dr.Slaa alaf waje kuibukia upande wa pili sio vyema
OK
Endelea basi kumbe me mwehu
...........................
Wazo la leo:Jichunguze haupo sawa kabisa.
MUHIMU:: Usiishi jamiiforum kwa hisia kali
Wazo la leo:
'Makapuku wawili wakibishana chukua jembe ukalime, wakipatana beba kapu ukavune'
Sawa prezdah, ila walioota ndevu waondoke nyumban wakatafute maisha wasije wakaanza kuonea wadogo zaoFanya utafiti kwanza
Chama linakuwa ...wanaosepa ni wale MAMLUKI halafu kuna watu mwanzo walidengua sasa ndio wameona chama kubwa wameanza kuibuka
Kumbuka kuna watu wamefuata LIKES tu kinafiki
One Love
.................
Hamna mkuu hapa ni mwendo wa Isidingo tu kasome post # 3Sawa prezdah, ila walioota ndevu waondoke nyumban wakatafute maisha wasije wakaanza kuonea wadogo zao
Sawa kabsa japo sifa za ukapuku zitaisha watabakia makapuku jina, ila si mbaya, makapuku wako makini sana hao wakongwe wamefichwaa!Hamna mkuu hapa ni mwendo wa Isidingo tu kasome post # 3
Susi ni km kufa na kuzikana
Adui zetu ni wale wakongwe na wanaojiona mastar WA Jf
Ukapuku utaendelea ht miaka![]()
![]()
![]()
![]()
................

Pilipili ya shamba! Ahaha me simo!Subiria hapohapo tuwaone wambea wa jukwaa wale wavamia ngoma zisizo zao
Sisi ht baada ya miaka 10 hatuwezi kuzingua MADOGO sababu tunajua machungu yakeSawa kabsa japo sifa za ukapuku zitaisha watabakia makapuku jina, ila si mbaya makapuku wako makini sana hao wakongwe wamefichwaa!![]()
ONCE A KAPUKU, ALWAYS A KAPUKUSisi ht baada ya miaka 10 hatuwezi kuzingua MADOGO sababu tunajua machungu take
Kapuku Forever
No shobo
No ufagio
......................

Well said, jukwaa limetoa watu mbali sana hiliSisi ht baada ya miaka 10 hatuwezi kuzingua MADOGO sababu tunajua machungu take
Kapuku Forever
No shobo
No ufagio
......................
Mamluki wanajishtukia wanasepa baada ya muda kwa aibuWell said, jukwaa limetoa watu mbali sana hili
Wacha waisimeeeeMamluki wanajishtukia wanasepa baada ya muda kwa aibu
![]()
![]()
![]()
.......................
Asante braza, tuko pamoja.Pole wakwetu