Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Ni huyu???Futa kauli yako.....
Mjini hapa sio lazima kuajiriwa/kwenda ofisini wengine tumeajiri watu/tunaletewa tu mahesabu
Punguza kauli za ajabuajabu
......................
Namjua myu wangu hua anarusha bila kufikiri upande wa pili utajiskiaje

na-mention hawa wenye maneno mbofu mbofu alafu nitarudi kwa ajili ya kudili nao

tell him