Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Mziki wa mdhamini;
Kibonge cheupe hebu enjoy


tantee Lyon unakoga makiss leo kwa kunikosha huyo mdada najikuta mimiii. 

Mziki wa mdhamini;
Kibonge cheupe hebu enjoy


tantee Lyon unakoga makiss leo kwa kunikosha huyo mdada najikuta mimiii. 

Binamu jaman santeeeMuziki wa Mdhamini: Ringtone ya Aunty
Aunt yangu mnayemjua humu kaweka ringtone wimbo huu yaani majirani hatulali maana simu yake ya kichina ina spika nne na twita. Yaani akibipiwa hapokei hadi muziki uishe. Usim-beep fanya kum-deep
Upende usipende utaamka kusikiliza
Tufurahi pamoja

umejuaje hiyo ringtone yangu simu zangu zote
Asaanteeee mama d ...hakika leo umefurahitantee Lyon unakoga makiss leo kwa kunikosha huyo mdada najikuta mimiii.
![]()
Sanaaa jamanAsaanteeee mama d ...hakika leo umefurahi
Mbona una heshima hivi za ghafla jaman mpaka naogopa
Hapana mama d kuwa na amani kabisaMbona una heshima hivi za ghafla jaman mpaka naogopa
Sawa baba d sijui baba d mdogo sijui mkubwa hata sijui najionea mashkolo tu hapa ngao ya maji na ya kidongeHapana mama d kuwa na amani kabisa
Usiku mwema na kwako ...Mungu akuongozeSawa baba d sijui baba d mdogo sijui mkubwa hata sijui najionea mashkolo tu hapa ngao ya maji na ya kidonge
Uwe na usiku mwema kwako acha nilale
Usiku mwema na kwako ...Mungu akuongoze
Binamu binamu ujuee huu mwakaa mpyaaa...ulivyoandika kwa adabu utasema nabii Tito anaongea na shehe Mussa
Mbona una heshima hivi za ghafla jaman mpaka naogopa
Sio mara zote lazima uwepo! Wkt mwingine unawakilishwa tu!Aniwakilishe kwani me nimekufa najitaka nijione mwenyewe
Mimi Sina shida ila nataka tukutane tuzungumzeEbhu mueleze shida zako zote ..
Wewe si ulikimbia nyumbani?Mimi Sina shida ila nataka tukutane tuzungumze
Ndio ila nataka niwaletee hii Prado niliyo kuwa natumia nimenunua gari nyingine sasa nimeona we na hali kavits kako kamepitwa na wakatiWewe si ulikimbia nyumbani?