Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sasa mm kumenishinda halaf sijui kwa nini napaogopa casino nilishaambiwa nipelekwe nikakataa kabisa yaan casino nazipitaga tu kwa nje

Hizi bongo ziko salama sana mnacheza tu kamli mnasepa,
Kuna Casino ziko mbele unaweza ukaingia ova zina mapepo yani.
Ukishaanza kwenda huwezi kuacha...
 
Alafuu huu mchezo unaanzaga kwa kushinda

Hahaha,
Mimi kuna Mjomba wangu walimfukuza kabisa Wahindi fulani hivi.
Alikuwa akiingia kwenye yale mamashine hashindwi kutoka na mapesa.
Wale wahindi walikuwa wakimwona anakuja walikuwa wanafunga milango wanamzuia asiingie!
Sijui alikuwa mchawi yule jamaa yaniii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom