Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Karibu mamyMie sijambo dear
Karibu mamyMie sijambo dear
Alafu team zote nilizokuambia Jana zimeshindaAsante rafiki
Hahaha,
Mimi kuna Mjomba wangu walimfukuza kabisa Wahindi fulani hivi.
Alikuwa akiingia kwenye yale mamashine hashindwi kutoka na mapesa.
Wale wahindi walikuwa wakimwona anakuja walikuwa wanafunga milango wanamzuia asiingie!
Sijui alikuwa mchawi yule jamaa yaniii





Ahsante sanaaKaribu mamy
Sikushinda niliongezea team moja ikapigwaEeenh Lyon Lee ukuje mwalimu wangu kaja kwahiyo ulishinda sh ngapi
Dj Coublot karibu sana..Hahaha,
Mimi kuna Mjomba wangu walimfukuza kabisa Wahindi fulani hivi.
Alikuwa akiingia kwenye yale mamashine hashindwi kutoka na mapesa.
Wale wahindi walikuwa wakimwona anakuja walikuwa wanafunga milango wanamzuia asiingie!
Sijui alikuwa mchawi yule jamaa yaniii
Sikushinda niliongezea team moja ikapigwa
Dj Coublot karibu sana..
Nakuona tyuu..Asante rafiki
Kwakweli ni mihangaiko ya dunia tu ila Mungu mwema nipo salama..Ahsante sana brother,
Sijakuona kitambo, umekimbilia wapi ???
Kwakweli ni mihangaiko ya dunia tu ila Mungu mwema nipo salama..
KabisaaaHizi bongo ziko salama sana mnacheza tu kamli mnasepa,
Kuna Casino ziko mbele unaweza ukaingia ova zina mapepo yani.
Ukishaanza kwenda huwezi kuacha...
HapanaaMana unaniombea nijue kucheza nikiliwa ufurahi
Hahaha,
Mimi kuna Mjomba wangu walimfukuza kabisa Wahindi fulani hivi.
Alikuwa akiingia kwenye yale mamashine hashindwi kutoka na mapesa.
Wale wahindi walikuwa wakimwona anakuja walikuwa wanafunga milango wanamzuia asiingie!
Sijui alikuwa mchawi yule jamaa yaniii
hao watu wapo na wanejenga na wana maisha mazuri kwa kubet
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hao watu wapo na wanejenga na wana maisha mazuri kwa kubet
He was a milionaire aisee!
Nakumbuka aliwatapeli sana Wahindi kipindi kile cha Kusakwa wahujumu Uchumi.
Wahindi walikuwa wanakuja kuficha vitu vyao kwenye Go-down lake na kufukia kwenye shamba lake.
Jamaa alikuja kuwaruka wale Wahindi, Mwinyi anakuwa Raisi jamaa ashakuwa tajiri mkubwa sana.
respect kwakee