Makapuku Forum

Makapuku Forum

respect kwakee

Alikuwa ni hatari sanaa,
Warusi pale Moscow State University walikuwa wanamtumia sana kuwaletea vitu kutoka nje ya nchi.
Alikuwa anawapelekea Jeans za nje halafu wao wanaweza kumpa hata friji wazee tunakula bata tu.....
Yaani alivyofariki lilikuwa pigo kubwa sanaa kwenye familia yetu; Alikuwa ni moja ya wasomi wa kwanza kabisa TZ
 
Alikuwa ni hatari sanaa,
Warusi pale Moscow State University walikuwa wanamtumia sana kuwaletea vitu kutoka nje ya nchi.
Alikuwa anawapelekea Jeans za nje halafu wao wanaweza kumpa hata friji wazee tunakula bata tu.....
Yaani alivyofariki lilikuwa pigo kubwa sanaa kwenye familia yetu; Alikuwa ni moja ya wasomi wa kwanza kabisa TZ
Acha kudanganya watu
 
Alikuwa ni hatari sanaa,
Warusi pale Moscow State University walikuwa wanamtumia sana kuwaletea vitu kutoka nje ya nchi.
Alikuwa anawapelekea Jeans za nje halafu wao wanaweza kumpa hata friji wazee tunakula bata tu.....
Yaani alivyofariki lilikuwa pigo kubwa sanaa kwenye familia yetu; Alikuwa ni moja ya wasomi wa kwanza kabisa TZ
Daaah pole sanna ...R.I.P
 
Alikuwa ni hatari sanaa,
Warusi pale Moscow State University walikuwa wanamtumia sana kuwaletea vitu kutoka nje ya nchi.
Alikuwa anawapelekea Jeans za nje halafu wao wanaweza kumpa hata friji wazee tunakula bata tu.....
Yaani alivyofariki lilikuwa pigo kubwa sanaa kwenye familia yetu; Alikuwa ni moja ya wasomi wa kwanza kabisa TZ
Poleni mnooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom