Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tafasiri Unavyoweza: Kutembea, Fungua Macho na Masikio

Leo nitaweka ufafanuzi wa kauli yangu kuhusu kutembea namaanisha nini, maana usijedhani ninaongelea utembezi unaohusisha kusogeza mguu, la, nina maana zaidi ya hapo. Wengi tunapenda kutembea na kufika sehemu tofauti tofauti na wengine kama khali ingekuwa inaruhusu basi tungedandia midege mikubwa na kuzuru maeneo mengi duniani kama siyo yote ulimwenguni.

Kutembea kuna faida, ndiyo na hasara zipo lakini faida ikiwa kubwa zaidi ya hasara kama ni biashara basi unafanya bila kuangalia hasara. Tafasiri unavyoweza. Mark Twain, mwandishi nguli ananukuriwa akisema Travel is fatal to prejudice, bigotry, and narrow-mindedness (tafasiri isiyo sahihi, ni kuwa kutembea huongeza ufahamu, huleta kuvumilia wengine). Maarifa hayaongezeki kwa kukaa eneo moja tu, tembea na ukitembea fungua macho na masikio ili ukirudi nyumbani ukakutana na sisi tumerudi toka matembezini basi tusimuliane nini tunafanya kujenga jamii yetu.

Tafasiri unavyoweza, kutembea huku, nasisitiza tena, namaanisha zaidi ya kunyanyua miguu, pata maarifa kupitia vitabu. wengi tunajijua hatupendi kusoma vitabu, hii ni mbaya sana na hasa pia ukiwa huna uwezo wa kutembelea sehemu nyingine. Shika kitabu, ongeza maarifa, kitabu kitakutembeza sehmu nyingi tofauti na utajiona mwenyeji wa maeneo hayo. Ndo uzuri wa kitabu, kinakuongezea ufahamu, kinakufanya ufikiri na zaidi kinakutofautisha na wanyama wengine wanaoweza kuongea, kutembea ila hawawezi kusoma.
Wikend Njema
 
Muziki: Ruka Juu

...ukisoma kichwa cha Muziki leo unaweza kukumbuka zile enzi za Tuka Juu, Banjuka Tu, ha hahaha, namkumbuka mwanamuziki Mkenya maarufu kwa jina la DNA. Ilikuwa ni shigda enzi hizo ndo tungweza kusema kwa sasa. U khali gani Kapuku muheshimika, natumaini umekuwa na wiki nzuri sana tangu mwanzo wa wiki na leo ndo tunaianza wikend. Happy furahiday na Sabato njema kwa waamini waaminio.

Nilikuwa na wiki nzuri binafsi, sijui kama nilikuambia kuwa ukiacha kazi kunibana, bado nilikuwa na nafasi ya kusoma kitabu cha hadithi, kusoma yanayoendelea humu JF na huwezi kudhani kuwa huwa sifiki lile jukwaa la chini kabisa (sina hakika kama BH) analijua maana mmmh! Huwa napiga story na anko wangu ambaye kwa kweli kwa sasa, si unakumbuka alienda Moshi kutekwa sasa naona mtekaji hakujua kuwa anko ni kama mhakiki ubora wa TBL, bia haiingii sokoni kama hajaionja, yaani kuanzia Safari lager hadi lite. Kumwekea dhamani utakonda

Muziki sasa, nisikuchoshe maana leo ni furahiday, take it easy. Love

 
Muziki: Ruka Juu

...ukisoma kichwa cha Muziki leo unaweza kukumbuka zile enzi za Tuka Juu, Banjuka Tu, ha hahaha, namkumbuka mwanamuziki Mkenya maarufu kwa jina la DNA. Ilikuwa ni shigda enzi hizo ndo tungweza kusema kwa sasa. U khali gani Kapuku muheshimika, natumaini umekuwa na wiki nzuri sana tangu mwanzo wa wiki na leo ndo tunaianza wikend. Happy furahiday na Sabato njema kwa waamini waaminio.

Nilikuwa na wiki nzuri binafsi, sijui kama nilikuambia kuwa ukiacha kazi kunibana, bado nilikuwa na nafasi ya kusoma kitabu cha hadithi, kusoma yanayoendelea humu JF na huwezi kudhani kuwa huwa sifiki lile jukwaa la chini kabisa (sina hakika kama BH) analijua maana mmmh! Huwa napiga story na anko wangu ambaye kwa kweli kwa sasa, si unakumbuka alienda Moshi kutekwa sasa naona mtekaji hakujua kuwa anko ni kama mhakiki ubora wa TBL, bia haiingii sokoni kama hajaionja, yaani kuanzia Safari lager hadi lite. Kumwekea dhamani utakonda

Muziki sasa, nisikuchoshe maana leo ni furahiday, take it easy. Love


 
Muziki: Ruka Juu

...ukisoma kichwa cha Muziki leo unaweza kukumbuka zile enzi za Tuka Juu, Banjuka Tu, ha hahaha, namkumbuka mwanamuziki Mkenya maarufu kwa jina la DNA. Ilikuwa ni shigda enzi hizo ndo tungweza kusema kwa sasa. U khali gani Kapuku muheshimika, natumaini umekuwa na wiki nzuri sana tangu mwanzo wa wiki na leo ndo tunaianza wikend. Happy furahiday na Sabato njema kwa waamini waaminio.

Nilikuwa na wiki nzuri binafsi, sijui kama nilikuambia kuwa ukiacha kazi kunibana, bado nilikuwa na nafasi ya kusoma kitabu cha hadithi, kusoma yanayoendelea humu JF na huwezi kudhani kuwa huwa sifiki lile jukwaa la chini kabisa (sina hakika kama BH) analijua maana mmmh! Huwa napiga story na anko wangu ambaye kwa kweli kwa sasa, si unakumbuka alienda Moshi kutekwa sasa naona mtekaji hakujua kuwa anko ni kama mhakiki ubora wa TBL, bia haiingii sokoni kama hajaionja, yaani kuanzia Safari lager hadi lite. Kumwekea dhamani utakonda

Muziki sasa, nisikuchoshe maana leo ni furahiday, take it easy. Love


Asante Obe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom