ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
JamaniKama ulipata mda wa kumsifia huyo na lyon ukamtelekezaaa huku akichambwa na makapuku ...![]()
![]()
![]()
Inshort alipambana na hali yake
kaaah...walimchamba kisaa?wakati na wao yao yanawashinda kuutwa kuangalia ya wenzao looh,kwahiyo nayeye akasikiiza mfyuuu
sawa haya mambo bana siyo yakuchekana siku utanitafuta nawewe subiri,si unajidai sahizi
Zaburi - 16