Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kama ulipata mda wa kumsifia huyo na lyon ukamtelekezaaa huku akichambwa na makapuku ...

Inshort alipambana na hali yake
Jamanikaaah...walimchamba kisaa?wakati na wao yao yanawashinda kuutwa kuangalia ya wenzao looh,kwahiyo nayeye akasikiiza mfyuuu
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Zaburi - 16

1 .Mungu, unihifadhi mimi, Kwa maana nakukimbilia Wewe.
2 .Nimemwambia Bwana, Ndiwe Bwana wangu; Sina wema ila utokao kwako.

MCHANA MWEMA WAPENDWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom