Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Nimemsonya binamu
...kumbe ni msonyo, nikajua ni busu! Yaani lilivyotua shavuni sitaoga hadi kirisimasi
Nimemsonya binamu
SawaNimemsonya binamu
Naanzaje kukupa busu mie we mzee...kumbe ni msonyo, nikajua ni busu! Yaani lilivyotua shavuni sitaoga hadi kirisimasi
He he basi acha niendelee tu kukuchekeshaComment zako zote zimenipa kicheko mtetemo
Wanajijua haswa naiangalia clouds hapa kwenye shilawaduWanajijua huko waliko.![]()
Naanzaje kukupa busu mie we mzee
Habari yako kapuku mwenzanguAbeeh
Shetani hawezi nipitia kwako...si ndo hata mimi nikashangaa, nikajiuliza labda shetani kakupitia maana uzee dawa muulize BH
Veep tena
Safi sana za weweHabari yako kapuku mwenzangu
Zangu ndio napambna nazo.Safi sana za wewe
Shetani hawezi nipitia kwako
Kwahiyo nimekuwa shululu eenh kweli akutukanaye
Nakusalimiaaa katika jina la yuleeeeee wa moshiiiiiiiiiAnkooo, niaje niaje!
Muziki: Mdhamini Anamsubiri Fundi Nguo
...kama kuna watu watata basi kofia nawavulia mafundi nguo, sio wote ila wengi wao ni vimeo mbaya yaani wanaweza kukupa ahadi huku wanatabasamu kabisa kuwa ' bhanaweee njoo uchukue nguo yako jioni nitakuwa nimeimaliza' sasa fika jioni, unakuta anakukaribisha na uso wa kilio huku anakata nguo nyingine kabisa. Kitakachoendelea ndo utamalizia maana Shunie ndo kanikumbusha kuhusu sikukuu na nguo mpya
Furahia chaguo la mdhamini wetu ambaye kwa bahati nzuri katokea kuwa ni mke wa anko wangu mdogo wa Lyon Lee
Nakusalimiaa mimi hapaVivuruge wote wanaojijua iwafikie hiyo nyimbo