BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
[emoji524]ZABURI 121
1.Nitayainua macho yangu,msaada wangu utatoka wapi.
2.Msaada wangu ni katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi.
3.Asiuache mguu wako usogezwe;asinzie akulindaye
4.Naam ,hatasinzia wala hatalala usingizi,Yeye aliye mlinzi wa Israeli.
5.BWANA ndiye mlinzi wako,BWANA ndiye mlinzi wako BWANA ni uvuli mkono wako wa kuume.
6.Jua halitakupiga mchana ,wala mwezi wakati wa usiku.
7.BWANA atakulinda na mabaya yote Atakulinda nafsi yako .
8.BWANA atakulinda utokapo na uingiapo Tangu sasa na hata milele.
USIKU MWEMA WAPENDWA.. DAMU YA YESU ITUFUNIKE..[emoji120]
1.Nitayainua macho yangu,msaada wangu utatoka wapi.
2.Msaada wangu ni katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi.
3.Asiuache mguu wako usogezwe;asinzie akulindaye
4.Naam ,hatasinzia wala hatalala usingizi,Yeye aliye mlinzi wa Israeli.
5.BWANA ndiye mlinzi wako,BWANA ndiye mlinzi wako BWANA ni uvuli mkono wako wa kuume.
6.Jua halitakupiga mchana ,wala mwezi wakati wa usiku.
7.BWANA atakulinda na mabaya yote Atakulinda nafsi yako .
8.BWANA atakulinda utokapo na uingiapo Tangu sasa na hata milele.
USIKU MWEMA WAPENDWA.. DAMU YA YESU ITUFUNIKE..[emoji120]