Makapuku Forum

Makapuku Forum

Serious ujue, mimi nina nywele za kipilipili, meno makubwa kama punje za mahindim haya haka katoto sasa, miguu mikubwaaa, nywele nzuri na, macho meupe wakati yangu mekunduuu. Au kwa kuwa ni katoto ka kike?
Anyway, tuyaache haya maana ni ya kibinafsi zaidi ilakanabaki kuwa ni kamtu kanakonipa wakati mzuri wakati wote.
Hilo ndio muhimu..mengine yatakuumiza tu..hayajengi
 
Serious ujue, mimi nina nywele za kipilipili, meno makubwa kama punje za mahindim haya haka katoto sasa, miguu mikubwaaa, nywele nzuri na, macho meupe wakati yangu mekunduuu. Au kwa kuwa ni katoto ka kike?
Anyway, tuyaache haya maana ni ya kibinafsi zaidi ilakanabaki kuwa ni kamtu kanakonipa wakati mzuri wakati wote.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Najua kokoro kama budege tu
dsc030661.jpg
 
[emoji524]Wakolosai 3

14 .Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndio kifungo cha ukamilifu.

15. Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani.


USIKU MWEMA DAMU YA YESU IWAFUNIKE[emoji120]
Ameen Mama uwe na usiku mwema [emoji120]
 
Back
Top Bottom