Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Hilo ndio muhimu..mengine yatakuumiza tu..hayajengiSerious ujue, mimi nina nywele za kipilipili, meno makubwa kama punje za mahindim haya haka katoto sasa, miguu mikubwaaa, nywele nzuri na, macho meupe wakati yangu mekunduuu. Au kwa kuwa ni katoto ka kike?
Anyway, tuyaache haya maana ni ya kibinafsi zaidi ilakanabaki kuwa ni kamtu kanakonipa wakati mzuri wakati wote.
...hakubadilisha jina aligoma, kwa hiyo ndani ya nyumba yetu mimi na yeye tunatumia majina yetu, ila haka katoto nakokapenda kwa sababu nilisingiziwa (kenyewe hakajui) ndo kanatumia jina langu

...mjomba wangu mdogo Lyon Lee katekwa Moshi, hivi hawa ndugu zangu sijui wamelogezewa na vitu vyeupe, yaani ni mimi tu ndo nikalogezewa na chokolate

Hebu nijichekee mie..ujue inabidi uwe unanipamba kwa maneno mazuri kwake, mimi huyu kwake ndo sisikii wala sioni utasema nimepewa limbwata la bata

Serious ujue, mimi nina nywele za kipilipili, meno makubwa kama punje za mahindim haya haka katoto sasa, miguu mikubwaaa, nywele nzuri na, macho meupe wakati yangu mekunduuu. Au kwa kuwa ni katoto ka kike?
Anyway, tuyaache haya maana ni ya kibinafsi zaidi ilakanabaki kuwa ni kamtu kanakonipa wakati mzuri wakati wote.

Sasa mjomba ako mkubwa mbona ata vyeusi anabeba tena ndio wengi
Na BHumekuja darling, sweetheart, apple pie, nimefurahi kukuona mahbibi. Simu yangu alikuwa nayo Lyon Lee . sasa umekuja nimeishika mwenyewe kwa sababu yako maana hakuna mwingine wa pili au wa tatu
?Na BH?
Hilo ndio muhimu..mengine yatakuumiza tu..hayajengi
Najua kokoro kama budege tu...kokoro halichagui, si unajua sisi wavuvi
Nalifahamu hilo...unaona sasa, nyumba nyingi mimi nimekuwa NHC? Ni shirika la nyumba tu ndo linaruhusiwa kuwa na nyumba nyingi, labda na mjomba wangu maana yeye alikuwa na wake coaster ya kwenda Tanga inajaa
Usiku mwema Makapuku! Upendo wangu kwenu hauna kipimo na kuelekea msimu wa sikukuu kila usiku nawaaga na zawadi ninayopenda, muziki.
Wakolosai 3
Najua kokoro kama budege tu
Siku hizi unawahi kulalaUsiku mwema Makapuku! Upendo wangu kwenu hauna kipimo na kuelekea msimu wa sikukuu kila usiku nawaaga na zawadi ninayopenda, muziki.
Ameen Mama uwe na usiku mwemaWakolosai 3
14 .Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndio kifungo cha ukamilifu.
15. Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani.
USIKU MWEMA DAMU YA YESU IWAFUNIKE![]()
