makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,442
- 108,485
[emoji120] [emoji120] [emoji120][emoji120] [emoji120] [emoji120]
[emoji120] [emoji120] [emoji120][emoji120] [emoji120] [emoji120]
Habari ya wewe na familia yakoMiss you too sweetheart
Hatujambo mpenziHabari ya wewe na familia yako
Mungu ni mwemaHatujambo mpenzi
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Mungu ni mwema
Salimia wote my dear
Shemeji za jioniMiss you much
JiraniSijambo bibie, vipi hali yako mpendwa!?
My love Tumosa[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Vipi hali jirani!?Jirani
AminMashaallah!! Allah akujaze neema zake zaidi ndugu yangu.
Muziki: Jumamosi ya Uzalendo
...hii si sawa na Jumamosi nyingine, fyi. Hii imekaa kiuzalendo zaidi na ndiyo maana wote tunakaa chini kutafakari kama taifa tunataka kwenda wapi maaana tulikotoka tunakujua. Kibinafsi ukitaka kwenda unapotaka sio shida, kuna vitu lazima uvifanye, mfano kama mwanafunzi, jitahidi kusaka maarifa ili ufaulu, mfanyakazi fanya kazi kwa bidii, hii inajulikana. Familia, mnakaa chini mnajipanga na kuchagua. Ila kama taifa sasa, hapa ndo tunaweka zile siasa zetu uchwara na kuwa na imani moja ya kujenga taifa na si wengine kujidai ni wazalendo zaidi ya wengine. tiiza wajibu wako
Muziki sasa, Babu Seya Na Papii Kocha wamepewa msamaha wa rais wanarudi uraiani, ni faida za kuwa rais, unafanya kile kinachokupendeza ikiwa tu kinaruhusiwa kikatiba na sheria. Wanarudi na kukuta mabadiliko mengi na mengine ni yale yale.
Kwako Tumosa (umebadili avatar-cute as always) na our very own makaveli10 papa mopao muzee ya tukutuku na makapuku wote nawatakia mwendelezo mzuri wa wikend. Upendo na uungwana ndo uwe imani yetu
Ubarikiwe my daughterNawasalimia tu jamani, Mungu azidi kuwatunza
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Amin
FACT[emoji120][emoji261][emoji262][emoji261][emoji262][emoji261][emoji262][emoji261][emoji262][emoji261][emoji262][emoji261][emoji262][emoji261][emoji262]
The loneliest people are the kindest
The saddest people smile the brightest
The most damaged people are the wisest
All because they don't wish to see anyone else suffer the same...
[emoji261][emoji262][emoji261][emoji262][emoji261][emoji262][emoji261][emoji262][emoji261][emoji262][emoji261][emoji262][emoji261][emoji262]
[emoji4] [emoji4]Binamu ukirudi naomba iniwekee wimbo wa seya nataka kucheza leo,mke mwee apumzike
uwe maalumu kwa baba wawili na makapuku wote[emoji120] [emoji120] [emoji120]
[emoji120] [emoji120]Nawe pia mpendwa, ubarikiwe pia.
[emoji120] [emoji120]Nawe pia mpendwa.
MomUbarikiwe my daughter
Yes darling daughter..hope you are good God Bless you[emoji120]