Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu Karibu tena brother naona walikua wamekuteka..
Happy bilated to my Broo Nyagei


I have been offline mkuu kwa muda. Katika pita pita ndio nikaambiwa juzi ilikuwa siku ya kuzaliwa ya baba Paroko.

Mungu akupe maisha marefu kaka. May the highest one grant you a happy and long life.

Let's keep our brotherhood.

Cc;

Nyagei and Linamo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom