Mwaipungu
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 293
- 138
Thanks comrade am proud to see another comrade invites me to this big thing "dialogue".Mie hapa ndio mnanivuruga kuongea kiinglish wakat shule hamkunipeleka nyie..![]()
![]()
Mwaipungu karibu mkuu
Thanks comrade am proud to see another comrade invites me to this big thing "dialogue".Mie hapa ndio mnanivuruga kuongea kiinglish wakat shule hamkunipeleka nyie..![]()
![]()
Mwaipungu karibu mkuu
Mahaba yakizidi dada.Mmh
Hivi umeniona wapi ndio naingia mie au ulikua unaniota
Pamoja mkuu.. huyo ndio obe, chief mopao mokonzi.Thanks comrade am proud to see another comrade invites me to this big thing "dialogue".
Hahaha, unavyoukazania huo msamiati!Kwa akili ulizonazo naimani utakuwa umemuazima shemeji yangu moneytalk..
Therefore atakuwa ameyatako masawali kilain.
Hence shown/proved![]()
![]()
![]()
Are u a fan of Makaveli? If so I dedicate u one of my favorite track "Changes". It has lots of lessons in life.Pamoja mkuu.. huyo ndio obe, chief mopao mokonzi.
Zaidi ya sana mkuu.. bila shaka obe kaona dedication yako, ataweka goma nile ladha mie.Are u a fan of Makaveli? If so I dedicate u one of my favorite track "Changes". It has lots of lessons in life.
Mbeba pochi wangu namuona kwenye ubora wako anavyoyafukuzia mapound yanguMahaba yakizidi dada.
Pesa nux ndio maana mitume hawakupenda mali..Mbeba pochi wangu namuona kwenye ubora wako anavyoyafukuzia mapound yangu

Maka zinakuozeaje jaman we endelea kuniwekea nitazichuku kwenye tar 20 na kitu hivi huu mwezi natakiwa niwe na mahela sanaMiss u mo shunie ake![]()
![]()
..
Hizi pound naona unataka ziniozee mikonon shunie, ingekuwa tunatuma kwa tigopesa zaman ungekuwa ushazikoga, au unazivutia kasi kwenye sikukuu, kumbuka ya kaisari hayana adabu, matatzo yakiona pound tu ndio yanataka sifa, yanatiririka kama mvua ya kichawi milimani...![]()


Maka zinakuozeaje jaman we endelea kuniwekea nitazichuku kwenye tar 20 na kitu hivi huu mwezi natakiwa niwe na mahela sanaMiss u mo shunie ake![]()
![]()
..
Hizi pound naona unataka ziniozee mikonon shunie, ingekuwa tunatuma kwa tigopesa zaman ungekuwa ushazikoga, au unazivutia kasi kwenye sikukuu, kumbuka ya kaisari hayana adabu, matatzo yakiona pound tu ndio yanataka sifa, yanatiririka kama mvua ya kichawi milimani...![]()


Hahaa.. sina maana tofauti na kutako pepa..Hahaha, unavyoukazania huo msamiati!

Pesa nux ndio maana mitume hawakupenda mali..
Ona sasa tumosa yuko radhi kubeba pochi kiwa nawe beneti kuliko jirani yangu![]()
![]()




ananiota mchana hakiii sijui aliniona wapi mapound ya maka akee yatanitolea watu rohoWe shunie wewe hujui tuu..Maka zinakuozeaje jaman we endelea kuniwekea nitazichuku kwenye tar 20 na kitu hivi huu mwezi natakiwa niwe na mahela sana![]()
Huyo shetani ashindwee maka endelea tu kuniwekea jamanWe shunie wewe hujui tuu..
Mie siwez kutunza pesa kama wazaramo wanavyomtunza mwali siku ya ngomaMaka zinakuozeaje jaman we endelea kuniwekea nitazichuku kwenye tar 20 na kitu hivi huu mwezi natakiwa niwe na mahela sana![]()

Hhmm.. haya ndugu yangu, ila ujue mie sio kibubuHuyo shetani ashindwee maka endelea tu kuniwekea jaman

Poa shunie ake.Tutaonana badae ngoja niangalie where is elisa
Usisahau kuwa watanzania huwa tunaangalia maana zingine kwanza, alafu kama hiyo ya kwako inafuata baada ya maana zote kuisha na kuonekana hazina mashiko.Hahaa.. sina maana tofauti na kutako pepa..![]()
![]()


